Hivi serikali ya Lebanon wanaelewana vipi na Hezbollah?

Hivi serikali ya Lebanon wanaelewana vipi na Hezbollah?

uzio usio onekana

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2019
Posts
836
Reaction score
2,658
Hii dunia inamichezo mingi sana lakini serikali.

Ya Lebanon lazima watakuwa wamechoka na tabia za hezbollah na watakuwa wameamua kuwauza Hezbollah kwa Israel kwa sababu haiwezekani ndani ya wiki mbili viongozi wote wa hezbollah wauawawe kama kuku.

Na wakati huo wanasema hezbollah ni jeshi bora kuliko Hamas na wakati huo huo yule kiongozi wa hamas alikuja kuuwawa baada ya karibia miezi 10.
 
Lebanon kuna Waislam Sunni na Shia hawa kila mmoja anachama chake Sunni ni Tayar Al Mustaqbal na Shia wako Amal na Hezbullah afu kuna wakristo na wao wamegawanyika karibu makundi manne afu kuna Duruz hawa wako wako kama Waislam.

Hezbullah ni wale wako South ya Lebanon waliamua kuanzisha kikosi sababu Israel alikuwa akingia Lebanon anavyo taka tokea Hezbullah kuanzisha kikosi Israel hachezei Lebanon hizo kelele za kuwa Israel anashinda ni nyimbo za kanisani tu.
 
Lebanon kuna Waislam Sunni na Shia hawa kila mmoja anachama chake Sunni ni Tayar Al Mustaqbal na Shia wako Amal na Hezbullah afu kuna wakristo na wao wamegawanyika karibu makundi manne afu kuna Duruz hawa wako wako kama Waislam.

Hezbullah ni wale wako South ya Lebanon waliamua kuanzisha kikosi sababu Israel alikuwa akingia Lebanon anavyo taka tokea Hezbullah kuanzisha kikosi Israel hachezei Lebanon hizo kelele za kuwa Israel anashinda ni nyimbo za kanisani tu.
Unesikia wapi mkuu, mbona kelele/Mayoe yashaaanza kusikika?
 
Ndani ya Lebanon kuna wakristo 33% washia 31% wasun 30 % na wapangni

Wakristo hupewa nafasi ya rais
Wasuni spika
Washia waziri mkuu mtendaji
Miaka 1982 washia walianza kupata sapoti kutoka wa washia wenzao wa iran ambao ni wengi nchini iran karibu 97 % ya wairan ili wajilinde,walianza kama chama cha siasa kisha wakaenda jeshi la kujilinda na kulinda jamii yao dhidi ya jeshi la kitaifa na pia adui yao mkuu Israel.

Kwa miaka 2 sasa wamezuia uchaguzi so hapa napo andika Lebanon haina Rais na ndio jukumu namba moja wa waisraeli wanataka kuhakikisha anapatika rais mkristo kisha kuwafurusha Hezbolah nchini humo wabaki kama chama cha kisiasa na Sia jeshi .

USSR
Hii dunia inamichezo mingi sana lakini serikali.

Ya Lebanon lazima watakuwa wamechoka na tabia za hezbollah na watakuwa wameamua kuwauza Hezbollah kwa Israel kwa sababu haiwezekani ndani ya wiki mbili viongozi wote wa hezbollah wauawawe kama kuku.

Na wakati huo wanasema hezbollah ni jeshi bora kuliko Hamas na wakati huo huo yule kiongozi wa hamas alikuja kuuwawa baada ya karibia miezi 10.
 
Lebanon kuna Waislam Sunni na Shia hawa kila mmoja anachama chake Sunni ni Tayar Al Mustaqbal na Shia wako Amal na Hezbullah afu kuna wakristo na wao wamegawanyika karibu makundi manne afu kuna Duruz hawa wako wako kama Waislam.

Hezbullah ni wale wako South ya Lebanon waliamua kuanzisha kikosi sababu Israel alikuwa akingia Lebanon anavyo taka tokea Hezbullah kuanzisha kikosi Israel hachezei Lebanon hizo kelele za kuwa Israel anashinda ni nyimbo za kanisani tu.
For your information Beirut itakuwa kifusi kama Gaza.

Na baada ya Beirut inayofuta itakuwa Tehran. Ayatollah atawekwa jela kama kwa Saddam Hussein
 
Hii dunia inamichezo mingi sana lakini serikali.

Ya Lebanon lazima watakuwa wamechoka na tabia za hezbollah na watakuwa wameamua kuwauza Hezbollah kwa Israel kwa sababu haiwezekani ndani ya wiki mbili viongozi wote wa hezbollah wauawawe kama kuku.

Na wakati huo wanasema hezbollah ni jeshi bora kuliko Hamas na wakati huo huo yule kiongozi wa hamas alikuja kuuwawa baada ya karibia miezi 10.
Hezbollah pia ni part ya serikali ya Lebanon na wana wabunge wengi tu, ila hawajasimamisha mgombea wa uraisi.

Chama tawala cha Lebanon (hao wakristo wa Maronite) wameingia madarakani sababu wameungana na Hezbollah, kwamba Hezbollah hatasimamisha mgombea uraisi na Hao Hezbollah watamchagua raisi toka Maronite, mkataba huo unaitwa Mar mikhael Agreement unaweza ukausoma hapa


Pia Hezbollah sio wanamgambo tu kama wengi wanavyofikiria humu, baada ya Lebanon Civil War hao jamaa ndio wame jenga Lebanon wamejenga shule, Hospitali na miundombinu mbalimbali, ndio maana unakuta Viongozi wa Lebanon wanajua mchango wao.
 
Ndani ya Lebanon kuna wakristo 33% washia 31% wasun 30 % na wapangni

Wakristo hupewa nafasi ya rais
Wasuni spika
Washia waziri mkuu mtendaji
Miaka 1982 washia walianza kupata sapoti kutoka wa washia wenzao wa iran ambao ni wengi nchini iran karibu 97 % ya wairan ili wajilinde,walianza kama chama cha siasa kisha wakaenda jeshi la kujilinda na kulinda jamii yao dhidi ya jeshi la kitaifa na pia adui yao mkuu Israel.

Kwa miaka 2 sasa wamezuia uchaguzi so hapa napo andika Lebanon haina Rais na ndio jukumu namba moja wa waisraeli wanataka kuhakikisha anapatika rais mkristo kisha kuwafurusha Hezbolah nchini humo wabaki kama chama cha kisiasa na Sia jeshi .

USSR
Chama cha wakristo kinachopewa support na Israel kina wabunge 4 tu ni kama Unaongelea John cheyo hapa Tanzania. Chama cha wakristo kinachoongoza nchi ni Allies wa Hezbollah. Usifikiri Walebanon ni wajinga, Soma historia yao Israel ashawahi kutawala hapo na Akatolewa kwa nguvu.
 
Kwa sababu wao wanasema hezbollah ni kikundi cha kijeshi kinacho jitegemea ndani ya
Nchi ya Lebanon. Na hicho kikundi kimeenda kuichokoza Israel na ujinga wa hezbollah umelighalimu taifa zima la Lebanon
Hezbollah ndio waliowatoa Israel Lebanon na ndio wanaolinda south Lebanon isivamiwe na Waisrael hadi sasa. So hao unaowaita Wajinga wasingekuwepo kusingekuwa na Lebanon bado ingekua koloni la Israel.
 
Lebanon kuna Waislam Sunni na Shia hawa kila mmoja anachama chake Sunni ni Tayar Al Mustaqbal na Shia wako Amal na Hezbullah afu kuna wakristo na wao wamegawanyika karibu makundi manne afu kuna Duruz hawa wako wako kama Waislam.

Hezbullah ni wale wako South ya Lebanon waliamua kuanzisha kikosi sababu Israel alikuwa akingia Lebanon anavyo taka tokea Hezbullah kuanzisha kikosi Israel hachezei Lebanon hizo kelele za kuwa Israel anashinda ni nyimbo za kanisani tu.
Haya

View: https://x.com/clashreport/status/1844052395522945295?t=MC0JYzPLc2xzbCC1REuYLg&s=19
Haya

View: https://x.com/clashreport/status/1844307810860912861?t=MC0JYzPLc2xzbCC1REuYLg&s=19
Haya

View: https://x.com/Osint613/status/1844392111426371949?t=MC0JYzPLc2xzbCC1REuYLg&s=19
 
Hii dunia inamichezo mingi sana lakini serikali.

Ya Lebanon lazima watakuwa wamechoka na tabia za hezbollah na watakuwa wameamua kuwauza Hezbollah kwa Israel kwa sababu haiwezekani ndani ya wiki mbili viongozi wote wa hezbollah wauawawe kama kuku.

Na wakati huo wanasema hezbollah ni jeshi bora kuliko Hamas na wakati huo huo yule kiongozi wa hamas alikuja kuuwawa baada ya karibia miezi 10.
Mbona bichwa la habari yako lingine, utumbo wa habari yako mwingine, unachotaka kujuwa ni nini haswa?
 
Lebanon kuna Waislam Sunni na Shia hawa kila mmoja anachama chake Sunni ni Tayar Al Mustaqbal na Shia wako Amal na Hezbullah afu kuna wakristo na wao wamegawanyika karibu makundi manne afu kuna Duruz hawa wako wako kama Waislam.

Hezbullah ni wale wako South ya Lebanon waliamua kuanzisha kikosi sababu Israel alikuwa akingia Lebanon anavyo taka tokea Hezbullah kuanzisha kikosi Israel hachezei Lebanon hizo kelele za kuwa Israel anashinda ni nyimbo za kanisani tu.
Tusiache kuwaambia hivi jamaa kama ambavyo ustaadhi Kizute anashauri tuwatetee Hezbollah kwa hali na mali. Nimekufuata private maana naona wenzetu wengine kama wamekata tamaa na kipigo wanachopata Hezbollah.tumebaki mimi na wewe tu kutetea tusiache sheikh wangu. Ingawa hawa mazayuni wanatuumiza sana.maana kila kiongozi akichaguliwa wanamla kichwa . ..inauma sana.
 
Hezbollah ni chama cha siasa Lebanon na wana viti bungeni.

Labda elewa kuwa Hebollah ilianzishwa mwaka 982 kupamna na serikali ya Israel iliyoivamia na kuikalia Lebanon mwaka 1978 wakishirikiana na Marekani.

Hezbollah iliweza kuwatimuwa wote mazayuni na wamarekani, ndipo kikaheshimika.
 
Dar es salaam.jpeg
 
Hezbollah ni chama cha siasa Lebanon na wana viti bungeni.

Labda elewa kuwa Hebollah ilianzishwa mwaka 982 kupamna na serikali ya Israel iliyoivamia na kuikalia Lebanon mwaka 1978 wakishirikiana na Marekani.

Hezbollah iliweza kuwatimuwa wote mazayuni na wamarekani, ndipo kikaheshimika.
Kilianzishwa Mwaka 982 BC or AD?
 
Hii dunia inamichezo mingi sana lakini serikali.

Ya Lebanon lazima watakuwa wamechoka na tabia za hezbollah na watakuwa wameamua kuwauza Hezbollah kwa Israel kwa sababu haiwezekani ndani ya wiki mbili viongozi wote wa hezbollah wauawawe kama kuku.

Na wakati huo wanasema hezbollah ni jeshi bora kuliko Hamas na wakati huo huo yule kiongozi wa hamas alikuja kuuwawa baada ya karibia miezi 10.

Hezbollah ni wa Lebanon utasema he kuwa walebanoni wamewachoka Hezbollah?

Hata unajua wao ni percent gani ya population?

Upepo haushibishi!
 
Back
Top Bottom