Hivi seriously Mbowe wataka kugombea tena ??

Hivi seriously Mbowe wataka kugombea tena ??

kagoshima

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2015
Posts
2,887
Reaction score
5,687
Mheahimiwa, inatosha. Utakatisha tamaa wengi. Kawe mshauri, acha chama kipate nguvu mpya. Mie ni mmoja watakao acha rasmi kuunga mkono chadema ukirudi madarakani.
1. Utawapa meno na uthibitisho wanaosema chadema ni mradi wako binafsi,
2. Kuwa kama zito, kaa pembeni uwe mshauri,
3. Waachie damu mpya, TL, John Heche, watafaa zaidi
4. Usiwe kama Putin au kagame
Onyesha mfano wa kuachiana madaraka ndani ya chama, kawe mshauri.
5. Shukrani kwa mchango wako ila aminisha uwepo wa demokrasia kwenye chama chako
Narudia tena ukingangania utaua mvuto wa chama, utatengeneza mfano wa tlp nyingime.
 
Mheahimiwa, inatosha. Uyakatisha tamaa wengi. Kawe mshauri, acha chama kipate nguvu mpya. Mie ni mmoja watakao acha rasmi kuunga mkono chadema ukirudi madarakani.
1. Utawapa meno na uthonitisho wanaosema chadema ni mradi wako binafsi,
2. Kuwa kama zito, kaa pembeni uwe mshauri,
3. Waachie damu mpya, TL, John Heche, watafaa zaidi
4. Usiwe kama Putin au kagame
Onyesha mfano wa kuachiana madaraka ndani ya chama, kawe mshauri.
5. Shukrani kwa mchango wako ila aminisha uwepo wa demokrasia kwenye chama chako
Narudia tena ukinhangania utaua mvuto wa chama, utatengeneza mfano wa tlp nyingime.
Kagombee wewe mkuu kama unamuonea WIVU mbowe.
 
Chama cha DEMOKRASIA kinaogopa demokrasia, ajabu kweli hii.

Lisu ana ushawishi mkubwa, sasa kwanini mna muogopa Mbowe asiyekuwa na ushawishi tena!?

Mnataka apite bila kupingwa, mgombea mwenye ushawishi mkubwa nchini?
 
AnAgombea na anapita,,,, hutaki meza Wembe! Mbowe ni mpinzani mgumu, hanunuliki,,,! Yuko vzr financially, hana njaa njaa za kuhongwa !
 
Mheahimiwa, inatosha. Utakatisha tamaa wengi. Kawe mshauri, acha chama kipate nguvu mpya. Mie ni mmoja watakao acha rasmi kuunga mkono chadema ukirudi madarakani.
1. Utawapa meno na uthibitisho wanaosema chadema ni mradi wako binafsi,
2. Kuwa kama zito, kaa pembeni uwe mshauri,
3. Waachie damu mpya, TL, John Heche, watafaa zaidi
4. Usiwe kama Putin au kagame
Onyesha mfano wa kuachiana madaraka ndani ya chama, kawe mshauri.
5. Shukrani kwa mchango wako ila aminisha uwepo wa demokrasia kwenye chama chako
Narudia tena ukingangania utaua mvuto wa chama, utatengeneza mfano wa tlp nyingime.
hapo namba 4 ungewatoa wote umuweke Museveni
 
Back
Top Bottom