Hivi SEX ni love!

Hapo kwenye highlighted nimekubali point nzuri sana....Hata mimi mwenyewe I don't regard my beloved one as a machine for mutual pleasure, there's so much more to it...Nimeuliza swali hili, kuna mwanamme mmoja namfahamu ni mme wa mwanamke ambaye nafanya nae kazi nimemkuta anatafuna mwanamke wa nje ya ndoa nikashangaa....Alipo ona nimeshangaa akasema mke wake wake hampendi eti ana mbani bania kumpa sex, ndo sababu katafuta anaye mpenda...Defination ya jamaa; Yani mke wako asipo kupa sex hata siku moja basi hakupendi na lazima ukapige nje...Kazi kweli kweli :biggrin:
 
hawa provide... hebu toa hio education.... lol

Tuanzie hapa. Mwalimu akiwafundisha wanafunzi wake jinzi ya kuvalisha uume kondomu. But nina wasiwasi mkubwa Mods wataondoa hii picha au kupeleka thread jukwaa la kikubwa. LOL.

 
Tuanzie hapa. Mwalimu akiwafundisha wanafunzi wake jinzi ya kuvalisha uume kondomu. But nina wasiwasi mkubwa Mods wataondoa hii picha au kupeleka thread jukwaa la kikubwa. LOL.





Mwalimu mbona alikua na haraka saana. Wanafunzi wanajua parts zipi zahusika kuzijua katika tendo lenyew? lol
 
Mwalimu mbona alikua na haraka saana. Wanafunzi wanajua parts zipi zahusika kuzijua katika tendo lenyew? lol

Walivyo na furaha na concentration watakuwa wanajua tu wasichojua ni namna ya kujilinda...lol
 
Walivyo na furaha na concentration watakuwa wanajua tu wasichojua ni namna ya kujilinda...lol



hahahaha.... Sikuangalia sura zao.... I bet hapo vijana walienda kujaribu kuvaa na wadada wishing they could possess one wajaribu..lol

Hivi dear umewahi ona/tumia condom za kike?
 
Mwalimu mbona alikua na haraka saana. Wanafunzi wanajua parts zipi zahusika kuzijua katika tendo lenyew? lol

Labda hizo topics wamezishapitia? We raise children with lies for 18+ lies, and then expect them to magically develop responsibility?
 
Labda hizo topics wamezishapitia? We raise children with lies for 18+ lies, and then expect them to magically develop responsibility?


EMT I don't think parents hua wana aim ku lie... Ni ile tu kua they think watoto wao bado ni kids kujua hasa what all is about.... Only a failure to realise kua wanajua more than wao wazazi waweza imagine. Seen you foot print in my old thread....lol... Ilikupita kumbe?
 
Reactions: EMT
Walivyo na furaha na concentration watakuwa wanajua tu wasichojua ni namna ya kujilinda...lol

Walinganishe hao na hawa. Huyo ni AIDS widow akiwafundisha moja ya njia za kujihadhari na ukimwi. Cheki macho yalivyowatoka.

 

And that is the problem. Parents view their children as "just kids" and think they "shouldn't be doing it, so they don't need to know it". They tell them how a baby is made, eti anashushwa toka mbinguni. Ndio maana hata inakuwa ngumu kwa mtu kama aliyeanzisha huu uzi kujua tofauti kati ya sex na love. Na hii inatokea sana kwa wasichana kuwa akimpenda mwanaume basi ni lazima afanye nae ngozo. Bila ngono, no love. Of course, wavulana wanaitumia hiyo ignorance kama advantage ya kufanya nao ngono.

Ile thread ndio naiona leo.
 
hahahaha.... Sikuangalia sura zao.... I bet hapo vijana walienda kujaribu kuvaa na wadada wishing they could possess one wajaribu..lol

Hivi dear umewahi ona/tumia condom za kike?

ha ha ha haaaaaaaaa situmii condom dear,....nimewahi kuziona,sikuzipenda kabisa....wewe je?
 
Walinganishe hao na hawa. Huyo ni AIDS widow akiwafundisha moja ya njia za kujihadhari na ukimwi. Cheki macho yalivyowatoka.
Utafikiri wakishafundishwa wana maamuzi wakati wa tendo lenyewe.....! Elimu inatolewa weeee,mwishoni kama mwanaume hataki basi!Tuna kazi ya ku-empower kina dada zaidi....Kuwafundisha,kuwapa condom na kuzitumia ni vitu vitatu tofauti!
 
Reactions: EMT
Kalagabao jombaa asikudanganye mtu kamua kiukweli kama hujaona mapenzi yanakuwa moto moto.Kama vipi rembesha uone utakavyolizwa.Hiyoo ndo kila kitu achana na mambo ya tamthilia
 



At least wanaosema wanatoka mbinguni has logic than wanatoka chini ya jiwe kubwaaaaa! lol... OR wanauza hopitali. Ila one thing is for sure, siku hizi walau the wazazi are trying there best being open to their kids as compared to zamani. After all the kids have so many places za infor kuweza pata habari, haya mambo hadi radios siku hizi zinaonglea kwa uwazi kabisa, naona zama za uwazi siku hizi...

Wha do you think about the thread (genuinely) too femine?
 
Reactions: EMT
hahahahah..... Hivi sikumbuki vizuri dear hivi hapa ushawahi pita? utapata jibu....lol

Nilishapita kule na kukusoma vizuri dear....kama simuamini mtu yanini kero? si niwe na subira tu...calendar works ukiwa makini..lol
 
Nilishapita kule na kukusoma vizuri dear....kama simuamini mtu yanini kero? si niwe na subira tu...calendar works ukiwa makini..lol



Calender wengine ndio inatikiwa uwe makini sana.... One mistake on goal! lol... Ila mbele nyuma hilo tendo halitakiwi vitu artifivial kama rubber aisee....lol... Michelle dear sikumbuki kama wewe uliweka adha na kero zako pale...
 
Utafikiri wakishafundishwa wana maamuzi wakati wa tendo lenyewe.....! Elimu inatolewa weeee,mwishoni kama mwanaume hataki basi!Tuna kazi ya ku-empower kina dada zaidi....Kuwafundisha,kuwapa condom na kuzitumia ni vitu vitatu tofauti!

Pia wapo wanawake ambao hawataki kutumia hata wakipewa hiyo elimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…