Hivi sheria inasemaje kuhusu makosa ya Usalama Barabarani kwa vyombo vya usafiri kama pikipiki, bajaji, gari nk?

Hivi sheria inasemaje kuhusu makosa ya Usalama Barabarani kwa vyombo vya usafiri kama pikipiki, bajaji, gari nk?

cleokippo

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2014
Posts
2,118
Reaction score
1,797
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu

Wataalamu wa sheria , naomba kufaham faini anayostahili kulipa mtu wa boda endapo atakutwa na makosa ma nne

Au mtu wa gari anayeweza kukutwa na makosa ma nne

Nimeamua kuandika uzi huu sababu kumekuwa na mabishano mtaan, wapo wanaosema hata ukikutwa na makosa 20 faini ni ya kosa moja

Na wapo wanaosema faini inalipwa kulingana na idadi ya makosa

Sasa ukweli umekaaje juu ya swali langu?

Nafunga uzi.

Asanten
 
Tusio na gari huu uzi hautuhusu
Huu uzi sio kwa wenye gari tu, kinachotakiwa ujue sheria inasemaje?

Unaweza ukaazima chombo cha moto ukakamatwa unatakiwa ujue sheria imekaaje

Hata kama sio wewe anaweza akakamatwa ndugu yako ukampa msaada wa kisheria pia
 
Back
Top Bottom