kwa sasa tuna online-banking, ATMs, mobile banking, electronic billing systems n.k.. Ni Muongozo upi/Sheria ipi inaratibu mambo haya hasa inapotokea kuna mushkeli???? Wapi Waziri wa katiba na sheria na Mwanasheria Mkuu wa serikali????
kwa sasa tuna online-banking, ATMs, mobile banking, electronic billing systems n.k.. Ni Muongozo upi/Sheria ipi inaratibu mambo haya hasa inapotokea kuna mushkeli???? Wapi Waziri wa katiba na sheria na Mwanasheria Mkuu wa serikali????
Pia waandike sheria ya spammers, na viruses na kukosa welimu kwa watu.kwani maeneo mengine si ya tuu uhalifu bali ya kupashana habari.