Habarini za asubuhi
bunge la juzi tuliona marekebisho ya sheria ya kuajiri mahakim waliohitim chuo kikuu kuendesha kesi katika mahakama za mwanzo lakini kabla ya marekebisho hayo tayari serikali imeshaajiri watu hao tayari, pia tumeona spika akiifuta kamati ya POAC ambayo ipo kisheyia bila sheria hiyo kufanyiwa marekebisho hii ikoje?
bunge la juzi tuliona marekebisho ya sheria ya kuajiri mahakim waliohitim chuo kikuu kuendesha kesi katika mahakama za mwanzo lakini kabla ya marekebisho hayo tayari serikali imeshaajiri watu hao tayari, pia tumeona spika akiifuta kamati ya POAC ambayo ipo kisheyia bila sheria hiyo kufanyiwa marekebisho hii ikoje?