Hivi sheria ya madhara (LAW OF TORT) inaweza msaidiaje mtu kama Lwakatare kama akishinda kesi ya ??

Hivi sheria ya madhara (LAW OF TORT) inaweza msaidiaje mtu kama Lwakatare kama akishinda kesi ya ??

MeinKempf

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2013
Posts
11,093
Reaction score
7,229
Kuna sheria ipi ya madhara mabayo inaweza kutumika kumsaidia mtu kama lwakatare na kesi inayomkabili kama akishinda ? na anaweza dai kama kiasi gani cha fidia kutokana na madhara hasa ya kiafya na kisaikolojia aliyoyapata?
 
Back
Top Bottom