Nawasalimu kwa jina la bwana
Ni jana tu
Nikiwa napita pita kwenye akaunt za kutisha tisha (napenda sana vitu vya kutisha).Nikakuta kwenye akaunti moja wameandka
"Ndani ya enternet kuna Email ambayo itakupeleka mpaka kwa mzimu unaoitwa RAPHELEH SANTAS mzimu huu kazi yake ni kukuangamizia mtu aliekukosea ila baada ya kukufanyia kazi Malipo yake Atakua anakutokea mpaka utakapo kufa"
Nimejaribu Kumuuliza MD wa hiyo akaunti anipe Email naona kama Hataki.Sasa nauliza je? Kwenye enternet kuna mizimu?
Siku njema wote[emoji4]