Ali Kiba kaanza kwenda Ulaya na Marekani toka wewe unafuta kamasi kwa ngumi miaka hiyo.
Ni kweli alianza siku nyingi na moja ya shoo zake ni hii hapa,hebu fanya kama una bando la kutosha iangalie hii,kisha angalia shoo za kiumeni za DIAMOND alizozifanya huko Duniani.Ali kaanza kwenda amerika na ulaya kupiga hizo tour kipindi ndio kwanza unazaliwa.....ndio tabu ya nyie mliojulia mziki enzi za instagram
Sasa shoo kama hii unafanya ulaya kisha unasema umetoka tour si bora uandae shoo hapa hapa bongo tu.tatizo kuna li team flani hivi lenyewe ndio linajiona bora sana kumbe hamna kitu
Kwa shoo za hivi ...... si bora aandae shoo hapahapa Bongo kuliko kujidhalilisha,kisha unasema umetoka tour.ALIKIBA alikuwa anaitwa Ali maulaya kwanza kwenda huko wakati simba anauza sisso so nyamazaaa
Ni sawa...je hapo ni madale au kwenye nchi za watu??.......kumbuka kipindi hicho domo alikuwa anauza chupi za mtumba pale karume na wewe ulikuwa unaogeshwa kwenye kisadoSasa shoo kama hii unafanya ulaya kisha unasema umetoka tour si bora uandae shoo hapa hapa bongo tu.
We jamaa unajielewa kweli ........ Kwahiyo kama DIAMOND alikuwa anauza chupi Karume ndio sababu ALIKUWA HAJAZI UKUMBI SI NDIO MAANA YAKO........ Haya angalia na hii ya juzi kati nayo sijui utasemaje.........??Ni sawa...je hapo ni madale au kwenye nchi za watu??.......kumbuka kipindi hicho domo alikuwa anauza chupi za mtumba pale karume na wewe ulikuwa unaogeshwa kwenye kisado
Ubongo wako mzito kama uji wa msibani.....msingi wa hoja yangu ni kwamba usifananishe nyakati hizo na sasa.....hata wewe enzi hizo hukuwa kama ulivyo sasa.....ndio maana nikakwambia ulikuwa unaogeshwa kwenye kisado enzi hizo na huyo jamaa yako alikuwa anauza chupi na kuiba vidani vya mama yake....so its about time.....hata shoo atakazokwenda kupiga ali sasa hazitakuwa sawa na hizo za zamani.....Acha ubishi wa kindeziWe jamaa unajielewa kweli ........ Kwahiyo kama DIAMOND alikuwa anauza chupi Karume ndio sababu ALIKUWA HAJAZI UKUMBI SI NDIO MAANA YAKO........ Haya angalia na hii ya juzi kati nayo sijui utasemaje.........??
Sibishi na sijawahi kubisha,ila NAKUOMBA UJIBU SWALI NA ACHA KUNISOMEA RISALA. Swali ni hili, je sababu ya yeye KUTOKUJAZA WATU KIPINDI HIKO NI KWAVILE DIAMOND ALIKUWA ANAUZA CHUPI KARUME .....................INA MAANA MIAKA YA NYUMA WASANII WALIKUWA HAWAJAZI KUMBI ZA BURUDANI ......... JIBU MASWALI NA SITAKI MIPASHO.Ubongo wako mzito kama uji wa msibani.....msingi wa hoja yangu ni kwamba usifananishe nyakati hizo na sasa.....hata wewe enzi hizo hukuwa kama ulivyo sasa.....ndio maana nikakwambia ulikuwa unaogeshwa kwenye kisado enzi hizo na huyo jamaa yako alikuwa anauza chupi na kuiba vidani vya mama yake....so its about time.....hata shoo atakazokwenda kupiga ali sasa hazitakuwa sawa na hizo za zamani.....Acha ubishi wa kindezi
Nimeona hiyo nyomi ya kiba, si mchezoNi kweli alianza siku nyingi na moja ya shoo zake ni hii hapa,hebu fanya kama una bando la kutosha iangalie hii,kisha angalia shoo za kiumeni za DIAMOND alizozifanya huko Duniani.
Hoja yangu ulipoanza kuni'quote huko juu haikuwa kujaza ukumbi ama kutokujaza......Hoja yangu ilikuwa kwamba Ali alianza kwenda ulaya na Amerika enzi hizo kabla ya hawa unaowajua.....mambo ya kujaza ama kutojaza na sababu zake umeleta wewe...Baada ya maelezo haya naomba unapo quote watu ubongo wako usiwe mzito kudadavua mamboSibishi na sijawahi kubisha,ila NAKUOMBA UJIBU SWALI NA ACHA KUNISOMEA RISALA. Swali ni hili, je sababu ya yeye KUTOKUJAZA WATU KIPINDI HIKO NI KWAVILE DIAMOND ALIKUWA ANAUZA CHUPI KARUME .....................INA MAANA MIAKA YA NYUMA WASANII WALIKUWA HAWAJAZI KUMBI ZA BURUDANI ......... JIBU MASWALI NA SITAKI MIPASHO.
Ulichokiandika una uhakika nacho? nihakikishie kama ulichokiandika ni sahihi na kama si sahihi narudia nimeanza kuona Jamiiforum imevamiwa.Alianza Simba Diamond Platnumz, mara Rayvanny, Harmonize na Mavoko wakatia timu pande zile na week hii kaibuka wakuitwa King Kiba nae anaanza tour Ulaya na Marekani na mpaka muda huu Malaika wa raruararua yuko kwenye viunga vya US.
Jamani hivi hizi shows zinaonyesha dalili yoyote ya kukua kwa bongofleva ama ni kujibu mapigo ya mtu kutafuta droo?
Naomba tulojaaliwa utashi tufunguke ya moyoni.
Watu wanaenda kukusanya pesa zao kwa mashabiki walioko huko.Alianza Simba Diamond Platnumz, mara Rayvanny, Harmonize na Mavoko wakatia timu pande zile na week hii kaibuka wakuitwa King Kiba nae anaanza tour Ulaya na Marekani na mpaka muda huu Malaika wa raruararua yuko kwenye viunga vya US.
Jamani hivi hizi shows zinaonyesha dalili yoyote ya kukua kwa bongofleva ama ni kujibu mapigo ya mtu kutafuta droo?
Naomba tulojaaliwa utashi tufunguke ya moyoni.
50 cent anaendaga uarabuni anapiga show sebuleni watazamaji ni tycoons watu wanakunywa kahawa wanapiga story zao show ikiisha 50 cent anakamata mtonyo wa maana arudi kwao.Km analipwa pesa tatizo liko wp? Mbona enzi za Gaddafi kina Jlo walikuwa wanaenda kumuimbia yeye na family yake. Tuache wivu kila mtu hafanye anachoona ni sahihi ili mradi aingilii Uhuru wa mwengine.
uongoKm analipwa pesa tatizo liko wp? Mbona enzi za Gaddafi kina Jlo walikuwa wanaenda kumuimbia yeye na family yake. Tuache wivu kila mtu hafanye anachoona ni sahihi ili mradi aingilii Uhuru wa mwengine.
Hoja yako ......... Kwani wewe ndio uliyeleta mada hapa ......MADA INATAKA KUJUA KAMA SHOO ZA ULAYA NA MAREKANI ZINAWALIPA WASANII WETU,halafu wewe unaongelea kitu kisichokuwepo kwenye mada upo sawa kweli,si bora ungeendelea kujificha kwa jinsi nilivyokuelewa mimi kuliko sasa kujifanya ndio wewe muelewa .......Kama ni hivo KWANINI USIANZISHE THREAD YAKO UNAYOZUNGUMZIA WASANII WA MWANZO KABISA KWENDA ULAYA NA MAREKANI,KISHA UONE KAMA HUYO KIBA WAKO ATAKUWEPO HATA KWENYE 10 BORA ????Hoja yangu ulipoanza kuni'quote huko juu haikuwa kujaza ukumbi ama kutokujaza......Hoja yangu ilikuwa kwamba Ali alianza kwenda ulaya na Amerika enzi hizo kabla ya hawa unaowajua.....mambo ya kujaza ama kutojaza na sababu zake umeleta wewe...Baada ya maelezo haya naomba unapo quote watu ubongo wako usiwe mzito kudadavua mambo
Unataarifa za kutosha mpaka unakosa brakeMsanii unaingia kwenye nchi nyingine hawajui kama upo,ona kwa DIAMOND tayari wanajua kuna msanii mkubwa sana kaingia nchini kwao.
Tupe vyanzo taarabu zako peleka pwani50 cent anaendaga uarabuni anapiga show sebuleni watazamaji ni tycoons watu wanakunywa kahawa wanapiga story zao show ikiisha 50 cent anakamata mtonyo wa maana arudi kwao.
Watanzania wengi ni washamba-washamba hawana exposure at all.