Hivi si mliambiwa muache kujilinganisha na nchi ambazo hazitoi takwimu za kirusi!

Hivi si mliambiwa muache kujilinganisha na nchi ambazo hazitoi takwimu za kirusi!

Kiukweli ingawaji mimi sikubali nzi wa kijana ila Magufuri kwa jinsi alivyoweka ujasiri juu ya corona , aisee ni mfano wa kuigwa tofauti na hapo Tz ingekuwa uchumi wake uko taabani.
 
Hawa wapuuzi walikua wakimchafua sana Magufuli na watanzania, leo bila kujijua wanamsafisha na kumpamba, kweli dunia duara

Unaemtukana leo, kesho utatumia nguvu hizo hizo kumsujudia
We unamjua wa kumsujudia we kichwa maji..
 
Back
Top Bottom