Hivi siku hizi kuna recruiting agency ya kuaminika?

Hivi siku hizi kuna recruiting agency ya kuaminika?

Sensei Tai

Senior Member
Joined
May 26, 2022
Posts
168
Reaction score
466
Zamani hizi recruiting agency zilikua na msaada sana kwa watafuta ajira lakini siku hizi nyingi zimekua na ubabaishaji.

Siku hizi zimeibuka recruiting agency ambazo zinaomba fedha kwa watafuta ajira na wengi wao ni matapeli, wanakuambia toka Tshs kadhaa tukupe nafasi na ukisema huna wakate kwenye mshahara wako wa kwanza wanakutupa.

Je, kuna recruiting yoyote siku hizi bado inafanya kazi kwa uaminifu pasipo kuomba fedha kwa mtafuta ajira?
 
Lakini pia recruiting agencies zimekua zikibebeshwa sana lawama kwa kupeleka wafanyakazi incompetent, wavivu, wezi na wenye tamaa ya kupata mafanikio ya haraka.​
Wanawapeleka wapi , ninachokifahamu ajira za nje ya nchi Kuna mda wa miezi mitatu wanakuwa wanakuangalia nawewe unawasikilizia ukiisha ndo mnaingia mezani wakupe feedback walichokiona Kwako na wewe unatoa maoni yako Kisha mabichi na mbivu zinajulikana inakuwa imeisha
 
Back
Top Bottom