Hivi Simba kwanini wasimchukue Morrison?

Hivi Simba kwanini wasimchukue Morrison?

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Kuna wakati huwa najiuliza huyu mwanga anayeroga akili za viongozi,mashabiki na wachezaji ni nani hasa?
Mbona mi naona Morrison bado anahitajika sana hasa kwa Simba hii?

Samahani kwa wenye chuki ila binafsi siangalii rangi ya paka ila tu kama ana uwezo wa kukamata panya.

Club ya Simba sio kikundi cha kwaya ya kisabato kiasi cha Ku demand kiwango kikubwa cha nidhamu kitu pekee anachohukumiwa nacho Morrison.

Morrison anahitajika.

Ubaya ubwela
 
Wakati chama na kundi lake walipokuwa Simba wachezaji walikuwa hawana nidhamu,chama alionyesha mabega,walipoondoka wote wenye viburi na kujiona wao ni zaidi ya timu Simba ilianza kujipata,hata kama viwango bado ila wanajituma na matokeo yanapatikana,nadhani unakumbuka tulipokuwa na kina Inonga,Chama,Miquison waliporejea simba toka uarabuni waliona wameiweza timu,wameondoka na kuachwa simba imechangamka. Bundi kahamia Yanga,Aziz K na chama wamekutana wote wajuaji na wachezaji wengi wameshajaa kiburi,matokeo unayaona..Morison kuna vitu serious anajifanya kichaa unakuta timu inatukanwa hata kwa ajili yake.
 
Wakati chama na kundi lake walipokuwa Simba wachezaji walikuwa hawana nidhamu,chama alionyesha mabega,walipoondoka wote wenye viburi na kujiona wao ni zaidi ya timu Simba ilianza kujipata,hata kama viwango bado ila wanajituma na matokeo yanapatikana,nadhani unakumbuka tulipokuwa na kina Inonga,Chama,Miquison waliporejea simba toka uarabuni waliona wameiweza timu,wameondoka na kuachwa simba imechangamka. Bundi kahamia Yanga,Aziz K na chama wamekutana wote wajuaji na wachezaji wengi wameshajaa kiburi,matokeo unayaona..Morison kuna vitu serious anajifanya kichaa unakuta timu inatukanwa hata kwa ajili yake.
Mtaandika nyuzi mpaka usiku wa manane
 
Wanaogopa yasiwe kama yakawapata ya Yanga na chama wao.....
Kubebabeba siyo kuzuri pia
 
Yanga ndiyo yenye tabia ya kuokoteza wachezaji waliovuka umri , mchukueni awasaidie wazee wenzake akina chama.
 
Yanga ndiyo yenye tabia ya kuokoteza wachezaji waliovuka umri , mchukueni awasaidie wazee wenzake akina chama
Morrison akirudi Yanga basi rasmi uto itakuwa ni channel ya vikatuni. Tutaona mengi saaana.
 
Morrison ni mchezaji mzuri ila siungi mkono kurudi kwake Simba. Utovu wa nidhamu ni ugonjwa wa kuambukiza.

Simba ikipata playmaker mwenye experience, timu itacheza kwa utulivu zaidi. Ngoma alitakiwa awe huyo mchezaji ila hachezeshwi nafasi sahihi kuweza kulitekeleza hilo.
 
Back
Top Bottom