Mtaandika nyuzi mpaka usiku wa mananeWakati chama na kundi lake walipokuwa Simba wachezaji walikuwa hawana nidhamu,chama alionyesha mabega,walipoondoka wote wenye viburi na kujiona wao ni zaidi ya timu Simba ilianza kujipata,hata kama viwango bado ila wanajituma na matokeo yanapatikana,nadhani unakumbuka tulipokuwa na kina Inonga,Chama,Miquison waliporejea simba toka uarabuni waliona wameiweza timu,wameondoka na kuachwa simba imechangamka. Bundi kahamia Yanga,Aziz K na chama wamekutana wote wajuaji na wachezaji wengi wameshajaa kiburi,matokeo unayaona..Morison kuna vitu serious anajifanya kichaa unakuta timu inatukanwa hata kwa ajili yake.
As long mnapigwa tutaandika hata usiku wa makumiMtaandika nyuzi mpaka usiku wa mananes
YANGA AFUNGWE SANA- YAS.Mtaandika nyuzi mpaka usiku wa manane
Leta timu lako nilipige 5YANGA AFUNGWE SANA- YAS.
YAS mkuu.Leta timu lako nilipige 5
Hivi umewahi kuona mchezaji mwenye kipaji kama Morrison tangu aondoke Simba?Kwani wachezaji wameisha mpaka tumrudie Morison
Morrison akirudi Yanga basi rasmi uto itakuwa ni channel ya vikatuni. Tutaona mengi saaana.Yanga ndiyo yenye tabia ya kuokoteza wachezaji waliovuka umri , mchukueni awasaidie wazee wenzake akina chama
Anapenda sana dada Poa ndio maana miguu inapigwa majeraha kl kukochaMagoti yake kwishney
Yeah anaoenda sana kudinya. Anyways matumizi mazuri ya hela hayoAnapenda sana dada Poa ndio maana miguu inapigwa majeraha kl kukocha