G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,369
- 5,248
Swala la Kocha mpya tunaenda wiki ya tatu hadi leo ni kimya, na ikumbukwe mwezi ujao tuna mchezo wa kimataifa.
Tuweke hilo pembeni, hivi swala la Mkude baada ya wiki 3, ndo linafika leo kwa mwenyekiti wa kamati ya Nidhamu. Tulikuwa tunasubiri nini muda wote huo? hili ni swala kweli la kuchukua mwezi, kujadili Nidhamu ya mchezaji? Tukiachilia mbali swala la Kocha ambalo nalo hadi sasa hata Kocha msaidizi hayupo.
Nimalize Kwa kusema tunamsaka Kocha mpya Kwa sasa, hicho kikosi kinachosajiliwa ni pendekezo la huyo Kocha ajaye au ndo ule msemo apende asipende lazima awatumie hao ambao si pendekezo lake?
Ni kweli hadi Sven anaondoka uongozi haukuwa na taarifa ya kuondoka kwake na kumwandaa mrithi wake?
Tuweke hilo pembeni, hivi swala la Mkude baada ya wiki 3, ndo linafika leo kwa mwenyekiti wa kamati ya Nidhamu. Tulikuwa tunasubiri nini muda wote huo? hili ni swala kweli la kuchukua mwezi, kujadili Nidhamu ya mchezaji? Tukiachilia mbali swala la Kocha ambalo nalo hadi sasa hata Kocha msaidizi hayupo.
Nimalize Kwa kusema tunamsaka Kocha mpya Kwa sasa, hicho kikosi kinachosajiliwa ni pendekezo la huyo Kocha ajaye au ndo ule msemo apende asipende lazima awatumie hao ambao si pendekezo lake?
Ni kweli hadi Sven anaondoka uongozi haukuwa na taarifa ya kuondoka kwake na kumwandaa mrithi wake?