Hivi sisi wakristo Tunajua na kuamini vipi kama dhambi zetu zinasamehewa kweli?

Hivi sisi wakristo Tunajua na kuamini vipi kama dhambi zetu zinasamehewa kweli?

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Enzi za Musa na manabii wengine na hata wafalme walikuwa wakikosea Mungu anawaadhibu palepale na kisha Nabii anaambiw na Mungu kuwa watu hawa wamefanya machukizo kadhaa wa kadhaa.

Bali na yote walikuwa wanatoa sadaka na dhabihu za kuteketezwa. Na hapo Mungu aliwajibu kuwa dhambi zao zimesamehewa na mambo yao Yana nyooka mara dufu.

Kwa wakati huu hatuna manabii tena Bali tuna matapeli tu kwa Aina zake yanayo jiita nabii nk.

Kuanzia agano jipya ama kifo cha yesu msalabani dhabihu za wanyama zilikoma kabisa na moja kwa moja Damu ya yesu msalabani ikawa mbadala wa dhabihu(kafara) hizo ama wanyama waliokuwa wanachinjwa.

Sote tunajua hakuna mkristo tena anaye toa kafara kwa ajiri ya ondoleo la dhambi kwani yote hayo yaliishia Kalvari (Calvary).

Ninachojiuliza Tunajua vipi dhambi zetu kama zimesamehewa kweli?

Nikweli tunatubu na kuomba msamaha kwa madhambi yetu je ni upi uthibitisho wa kuwa dhambi zangu sasa zimesamehewa kabisa?

Kama nilivyo elezea hapo juu Enzi hizo mtu akiasi Mungu anampiga mapigo hadi atubu dhambi zake na akisha samehewa tu nabii atampa habari zile na kumuonya.

Mifano ipo mingi sana kwenye bibilia.
Je sisi leo hii ..........?

Kwaresima Njema.
FB_IMG_1741591363399.jpg
 
Katika Agano jipya, Yesu aliwavuvia akawaambia, "pokeeni Roho Mtakatifu, wowote mtakao waondolea dhambi wameondolewa na wowote mtakaowafungia dhambi wamefungiwa."

Na pia, andiko linasema, afichaye dhambi zake hatafanikiwa, bali yeye aziungamaye na kuziacha atapata rehema.

Kwa mantiki hiyo, unapokiri dhambi na kuziweka wazi ndipo msamaha na ondoleo la dhambi inapopatikana
 
Zamani ulipewa cheti cha kuonyesha umesamehewa dhambi ila unakilipia (indulgence), unaona huo mchezo? Dini ni biashara, wajinga ndio waliwao. Martin Luther alipinga na kuanzisha kampuni yake mwenyewe.
 
Enzi za Musa na manabii wengine na hata wafalme walikuwa wakikosea Mungu anawaadhibu palepale na kisha Nabii anaambiw na Mungu kuwa watu hawa wamefanya machukizo kadhaa wa kadhaa.

Bali na yote walikuwa wanatoa sadaka na dhabihu za kuteketezwa. Na hapo Mungu aliwajibu kuwa dhambi zao zimesamehewa na mambo yao Yana nyooka mara dufu.

Kwa wakati huu hatuna manabii tena Bali tuna matapeli tu kwa Aina zake yanayo jiita nabii nk.

Kuanzia agano jipya ama kifo cha yesu msalabani dhabihu za wanyama zilikoma kabisa na moja kwa moja Damu ya yesu msalabani ikawa mbadala wa dhabihu(kafara) hizo ama wanyama waliokuwa wanachinjwa.

Sote tunajua hakuna mkristo tena anaye toa kafara kwa ajiri ya ondoleo la dhambi kwani yote hayo yaliishia Kalvari (Calvary).

Ninachojiuliza Tunajua vipi dhambi zetu kama zimesamehewa kweli?

Nikweli tunatubu na kuomba msamaha kwa madhambi yetu je ni upi uthibitisho wa kuwa dhambi zangu sasa zimesamehewa kabisa?

Kama nilivyo elezea hapo juu Enzi hizo mtu akiasi Mungu anampiga mapigo hadi atubu dhambi zake na akisha samehewa tu nabii atampa habari zile na kumuonya.

Mifano ipo mingi sana kwenye bibilia.
Je sisi leo hii ..........?

Kwaresima Njema.
View attachment 3265490
Kwani imani ni nini?

Tuanzie hapo.

Unaamini vipi utafika unakoenda wakati unaanza safari na haujafika?
 
Kwahiyo tunavyoomba toba mbele ya mifuko miwili ya cement we hauamini kama tunasamehewa?
downloadfile.png
 
Enzi za Musa na manabii wengine na hata wafalme walikuwa wakikosea Mungu anawaadhibu palepale na kisha Nabii anaambiw na Mungu kuwa watu hawa wamefanya machukizo kadhaa wa kadhaa.

Bali na yote walikuwa wanatoa sadaka na dhabihu za kuteketezwa. Na hapo Mungu aliwajibu kuwa dhambi zao zimesamehewa na mambo yao Yana nyooka mara dufu.

Kwa wakati huu hatuna manabii tena Bali tuna matapeli tu kwa Aina zake yanayo jiita nabii nk.

Kuanzia agano jipya ama kifo cha yesu msalabani dhabihu za wanyama zilikoma kabisa na moja kwa moja Damu ya yesu msalabani ikawa mbadala wa dhabihu(kafara) hizo ama wanyama waliokuwa wanachinjwa.

Sote tunajua hakuna mkristo tena anaye toa kafara kwa ajiri ya ondoleo la dhambi kwani yote hayo yaliishia Kalvari (Calvary).

Ninachojiuliza Tunajua vipi dhambi zetu kama zimesamehewa kweli?

Nikweli tunatubu na kuomba msamaha kwa madhambi yetu je ni upi uthibitisho wa kuwa dhambi zangu sasa zimesamehewa kabisa?

Kama nilivyo elezea hapo juu Enzi hizo mtu akiasi Mungu anampiga mapigo hadi atubu dhambi zake na akisha samehewa tu nabii atampa habari zile na kumuonya.

Mifano ipo mingi sana kwenye bibilia.
Je sisi leo hii ..........?

Kwaresima Njema.
View attachment 3265490
Kwa Imani. Huwa unajuaje kama dawa unayotumia inatibu maradhi Yako?? Issue ni IMANI TU MKUU.
 
Back
Top Bottom