Hivi sisi wanaume ndiyo tabia zetu??

Duh! Kiswanglishi chako kigumuuuu!!
Ingawa mimi sikubaliani na mtoa hoja! Kama anajilaumu ni yeye, mimi sijawahi kujilaumu.....pengine nalenga KUNAKO!
pole ntakupa tution hofu toa tutaenda sawa tu mjomba....nini ngumu apo?nikudadafulie?
km haukubaliana nae poa bas wewe mkaka mzuri
na usiwe unafanya ivo
 
Mimi kuna mwanamke aliyekuwa ananitaka baada ya kumzungusha sana kama miezi sita hivi nilipomkubalia akataka tuka-du siku hiyo hiyo dah nilikula kona
 

Akina dada mlielewe hili ili msiwe mnapata tabu, ni kama unavyokunywa bia tu, bia ikishaisha basi chupa haina thamani tena unaitupilia mbali na unachukua bia nyingine!
 

ndo maana ninaona uzuri wa kuwa na plan B, endapo plan A imefeli!kama mbunye unakuta ni fyata.......fyata.....fyata...... basi nenda banda la uani na utue mzigo!na ndio inakuwa mwisho wa safari!
 
ndo maana ninaona uzuri wa kuwa na plan B, endapo plan A imefeli!kama mbunye unakuta ni fyata.......fyata.....fyata...... basi nenda banda la uani na utue mzigo!na ndio inakuwa mwisho wa safari!

Mpwa msamiati huu ni mpya kwangu hebu nidadavulie kidogo nielewe:confused2::confused2::confused2:
 
Kumbe ndo mko hivyo?

Ulikuwa hujui? Habari ndio hiyo tamaa tu zimewajaa kila wanachoona wanatamani na wakishapata hawaoni jipya. So wanawake tunabidi tuwe makini sio kila ukitongozwa unakubali
 
Naweza kulitumia rasmi au hadi niende BAKITA kwa ajili ya approval?

ruksa, lakini hebu jiridhishe kwanza kwa kumsikia Rose 1980 atasema nini kuhusu matumizi ya huu msamiili!
 
Kuna factors zinazosababisha hiyo kutokea:
1.Lubrication rate
2.Fluid content
3.Penetration rate
4.Stinking rate
5.Romancing time
6.Emotional reactions
 
Ulikuwa hujui? Habari ndio hiyo tamaa tu zimewajaa kila wanachoona wanatamani na wakishapata hawaoni jipya. So wanawake tunabidi tuwe makini sio kila ukitongozwa unakubali

Ni PM nikupe mbinu
 
Ulikuwa hujui? Habari ndio hiyo tamaa tu zimewajaa kila wanachoona wanatamani na wakishapata hawaoni jipya. So wanawake tunabidi tuwe makini sio kila ukitongozwa unakubali

yes,wengine unawapa na wengine unawanyima!
 
Nimemkumbuka MWANA FA kwenye moja ya mashairi ya wimbo wake alisema WANAWAKE NI URITHI WETU TUMEPEWA KUTOKA KWA MUNGU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…