cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
Cheusi umejifunza nini:couch2:
mengi,ila mojawapo nililojifunza ni jinsi ilivyo rahisi kwa mwanamke mwenye mapenzi ya kweli kuishia kulipwa kwa kutupwa kama karatasi iliyopengewa mafua.so scary but what to do as its not easy kumjua atakayedumu na ww hadi kifo kiwatenganishe au atakayekutupilia mbali baada ya ku-do.lord have mercy
damn you men wenye tabia ya namna hii, 😛out:go to hell woote mnaonanihii wadada wa watu then mnawapa kibutimengi,ila mojawapo nililojifunza ni jinsi ilivyo rahisi kwa mwanamke mwenye mapenzi ya kweli kuishia kulipwa kwa kutupwa kama karatasi iliyopengewa mafua.so scary but what to do as its not easy kumjua atakayedumu na ww hadi kifo kiwatenganishe au atakayekutupilia mbali baada ya ku-do.lord have mercy
Hata ukiwa na hamu ya soda ukiishakunywa na kukata kiu basi ile chupa unaifanyia vioja vingi sana mara utakuta inawekewa mafuta ya taa ndani yake mara mafuta ya kula.
hiyi ndiyo asili ya wanaume!
damn you men wenye tabia ya namna hii, 😛out:go to hell woote mnaonanihii wadada wa watu then mnawapa kibuti
masahihisho:sio wanaume wote
ila kuna MIJANAUME ina tabia chafu za kishamba na kilimbukeni jamani yaani,kuna wengine wanaweka loud speaker ukiwapigia,sms zako wanaonesha.akiwa nawe anajifanya anajali na kukupenda yaani ni ma mapretender waliofuzu.
Kuna kupenda na kutaka, kutaka ukipata basi ndio mwisho na ukipenda kila siku utaendelea kutaka. tatizo ni kuwa inategemeana na mwanaume, kuna wanaume wengine ambao sehemu zao za siri ni active zaidi kuliko moyo na ubongo, hao ndio wanakuwa hodari sana wa kutakataka, na hawatosheki tena huwa hata wanajisifu kwa kubadilisha wanawake. Kuna wengine ambao akili zao ziko kichwani wao ni tofauti, ubongo ndio unafanya kazi zaidi na ndio unaoongoza mioyo na sehemu zao za siri, wao at least wanamthamini zaidi msichana na mwanamke na kuchague wa kumoenda na kumataka, tofauti na wae ambao sehemu zao za siri ndio zinaongoza ubongo wao. Wakiona tu viti maalum basi akili imehamia hukohuko.
Umenikumbusha kisa kimoja kuna siku nimekaa sehemu nakula nyama choma wakaja jamaa wawili wakaa pembeni yangu wakaanza kusema "Aahhh mbona yule Jane nimeishampitia wala hana ladha yoyote ile nilifikiri yuko fresh kumbe hamna kitu used ile mbaya utafikiri daladala" Niligeuka nikamwangalia mshikaji nikasema duh huyo mwanamke anayeongelewa maskini pole zake angejua
maini yatabaki kuwa maini tu, kama ni ya ndama au ng'ombe mkubwa!!!! na virutubisho vyake ni vile vile sio kwamba kidari kina vitamin K na paja lina vitami Ynyama zinatufautiana na ladha inatofautiana ya kidari sio paja