Mara nyingi kama sio mara zote thread Yoyote Ya kichochezi na thread yoyote ya kuwahusu wanawake wenye misanga mikubwa kama Sanchi wanajopo wote wa kike kwa kiume huwa wanatoa promo ya kutosha sana. Mpaka Kwenye magroup Ya whatsapp atasambaza.
Tatizo linakuja pale ukianzisha uzi wa ku
1. Omba Mchango Wa Pesa kufanikisha mambo fulani,
2. Omba kusaidiwa kutangaza Biashara yako.
3. Omba kuchangiwa pesa ya ada ya mwanao.
Kwanini kwenye mambo/starehe za muda mfupi watu wanajitoa sana lakini kwa yenye tija za muda mrefu huwezi ona mtu.
Huwezi pata support kama unayopata kwenye thread za porojo
Hata Sjui Tunakwama Wapi wanajopo wenzangu.