Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
ku-assemble labdaNimesikia kwamba tumeanza kutengeneza battery za magari.
Tayari Kuna kiwanda, habari njema! Yes nasoma articles mbali mbali huko googleGoogle ni mwalimu mzuri sana mkuu, hutakosa jibu la uhakika.
Kwa upande wa betri za magari kama tuko serious na elimu yetu, inatakiwa mtoto anaemaliza 4m4 aliesoma chemistry vema, vifaa vipo, basi awe na uwezo wa kutengeneza.
Mbona nasikia ni production kabisa?ku-assemble labda
Yes. Yuassa zilikua nzuriBattery kulikuwa na kiwanda zamani sana kikizalisha YUASA. Na zilikuwa nzuri.
Hawa wasomi wetu uchwara wa kukariri watengeneza solar panels?Penye wengi haliharibiki neno! Nimewaza mara nyingi sana, hivi solar panels zinatengenezwaje? Unatumia materials Gani? Kuna teknolojia Gani inatumika?
Tanzania Kuna kiwanda cha kuzalisha hizo solar panels? Nimesikia kwamba tumeanza kutengeneza battery za magari.
Natamani kujua mwenye Abc za utengenezaji na uzalishaji wake
sema stage ya mwisho ya assemblingMbona nasikia ni production kabisa?
Okay, Wacha nitafuatilia Tena. Ila kwanini unawaza kuwa haiwezekani? Natamani kujua kidogosema stage ya mwisho ya assembling
Mbona nasikia pale UDSM Engineering wanaweza kutengeneza hahahaaHawa wasomi wetu uchwara wa kukariri watengeneza solar panels?
haiwezekani maana vingi vinafanya assembling tena hatua za mwisho kabisaOkay, Wacha nitafuatilia Tena. Ila kwanini unawaza kuwa haiwezekani? Natamani kujua kidogo
Ahaa hapo nimekusomahaiwezekani maana vingi vinafanya assembling tena hatua za mwisho kabisa
angalia tanalec eti nao ni watengenezaji wa transformers
nabaki nacheka tu
Nini shida?Bado saana
Hatuko equippedNini shida?