Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Habari wana JF na wanamichezo kwa ujumla,
Nimekuwa nikifuatilia maendeleo ya timu yetu ya taifa maalufu kama Taifa Stars,naona tunarudi nyuma kwakasi zaidi kuliko kusonga mbele.Sina hakika kama kuna mpango wowote na makakati wa kuifanya timu hii yetu pendwa iweze kututoa kimasomaso waTz wapenda mpira.
Binafsi naona tungepandisha wale Serengeti boys ndo wawe timu ya kwanza twende nao taratibu maana naona tunawapa lawama bure makocha (Mayanga),ila kusema ukweli hata aje Pep Guardiola wachezaji wetu wamekomaa na hawafundishiki.Niliuangalia kwa makini mchezo wetu na Algeria nikagundua wanakosa basics nyingi sana za soka kiasi kwamba tusitegemee lolote kwa miaka ya karibuni
.TFF futeni hilo timu tuwekee vijana watatufikisha mbali
Nimekuwa nikifuatilia maendeleo ya timu yetu ya taifa maalufu kama Taifa Stars,naona tunarudi nyuma kwakasi zaidi kuliko kusonga mbele.Sina hakika kama kuna mpango wowote na makakati wa kuifanya timu hii yetu pendwa iweze kututoa kimasomaso waTz wapenda mpira.
Binafsi naona tungepandisha wale Serengeti boys ndo wawe timu ya kwanza twende nao taratibu maana naona tunawapa lawama bure makocha (Mayanga),ila kusema ukweli hata aje Pep Guardiola wachezaji wetu wamekomaa na hawafundishiki.Niliuangalia kwa makini mchezo wetu na Algeria nikagundua wanakosa basics nyingi sana za soka kiasi kwamba tusitegemee lolote kwa miaka ya karibuni
.TFF futeni hilo timu tuwekee vijana watatufikisha mbali