Hivi stas masili mulienda kufanyann

kyandophirbet

Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
19
Reaction score
3
Kwa kiwango kilicho onyeshwa jana na wachezaji wetu kina sikitisa sana yani wachezaji mumetumia kodi zetu kwenda kuweka kambi masir. Ya wiki njima mm kama mupenda soka nikafika uwanjani ili nione mambo ya masili ila kwakile nilicho kiona nazani kila mupenda soka aliona ina uma sana
 
Mkuu hii lugha uliyoitumia ni ipi? Maana haileweki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…