Aisee ina maana alishindwa kabisa kukiendeleza kipaji chake?
Kweli bongo nyoso
Du hao big dog pose walikuw noma sana,sijui nao wako wapi? Kulikuwa na album yao moja inakwenda kwa jina la wosia ilikuwa balaaUkimpata nitafutie pia
Jose mtambo wa kigambonino
Mnyalu
Caz T
Wale wanyama wa BDP (big dog pond)
Dula soul
Na wanyamakwinqwi wengine wa jamii ya hao niliowataja
Wanakwambia.."tunawaza sana mpaka mavichwa yanaongezeka upana ...majobless jobless..."Du hao big dog pose walikuw noma sana,sijui nao wako wapi? Kulikuwa na album yao moja inakwenda kwa jina la wosia ilikuwa balaa
Tatizo umarekani mwingi, ndumu na kutokuwa na displine na game!Mchizi MOX alikuwa na sauti ya kipekee, yaani angekuwa anajua angetulia na kupiga noti sana
Kuna picha niliiona juzi ya Suma G Daaaa kama hali NYUNGA sijui.Huyu jamaa nimemkumbuka na kile kibao chake cha VITUKO uswahili,
"Uswahilini ukioga mchana utaulizwa, unakwenda wapi"
"Uswahilini mtu ananawa miguu wakati miguuni hajavaa kandambili,akimaliza tu anakanyaga chini"
Huyu dogo alikuwa na kipaji sana sijui yuko wapi?ⁿ
Umewasahau Solid ground familyUkimpata nitafutie pia
Jose mtambo wa kigambonino
Mnyalu
Caz T
Wale wanyama wa BDP (big dog pond)
Dula soul
Na wanyamakwinqwi wengine wa jamii ya hao niliowataja