Kawa ustaadh saiziBalozi yuko kwa Trump,ila Saigon sijui kapotelea wapi
Du pole yake , ndio mana yuko kimya sana aiseeKawa ustaadh saizi
Tokea afiwe na mama yake na mkewe ndani ya siku 2 wote kwa pamoja kachange sana kaachia udevu na ibada ibada mitaa ya sinza utamkuta kwao
Alikuwa na plan ya kufanya project yake ya video editing ,designing nk nk mambo aliyosomea sijui iliishia wapi
Saigon amekuwa ustadh, katika huo ujinga alishajitoa kitambo na hata ukimuona siyo yeye tena.....Ni presenter wa Tv/Radio Imaan Morogoro.Saigon na balozi wapi jamani???kitambo sana
Yupo redio imaniDu pole yake , ndio mana yuko kimya sana aisee
Mabaga freshAisee vipaji vingi sana vimepotea
mkuu suma g ni mtu wa pombe sana...wakati yuko katika ubora wake alikuwa anazitwanga pombe kupita kiasi...nimekaa nae sana huyu jamaa pamoja na soggy dog... (hot pot family) ...nafikiri sasa kipato ni cha hali ya chini ..so naona hali tu ya maisha imekuwa ngumuAisee anaumwa au hali ya maisha?au ndio mambo yetu ya poda?
Unalikumbuka beat la wimboo daah laukwel sanaaNini mnataka mazeee, nini mnatakaaaa
Hapa ni shwaaari
akikujibu nitagi. Mi namtafuta V2 alieimba "nasonga mbele" https://bongoexclusive.net/v2-nasonga-mbele-download-alhamis-exclusiveukimpata huyo niambie hotpot family wapo wap
Huyu jamaa nimemkumbuka na kile kibao chake cha VITUKO uswahili,
"Uswahilini ukioga mchana utaulizwa, unakwenda wapi"
"Uswahilini mtu ananawa miguu wakati miguuni hajavaa kandambili,akimaliza tu anakanyaga chini"
Huyu dogo alikuwa na kipaji sana sijui yuko wapi?ⁿ
Mkuu umechanganya,ile thd ilikua ni Joslin anayeuza chipsi sio Suma G.kuna thread nliiona wanasema jamaa anauza chips sinza au mbagala kama sikosei
saigon hivi ni shehe, yupo radio imaan kama sikosei, balozi yupo USSaigon na balozi wapi jamani???kitambo sana
Josilin yule niite mpenzi??Mkuu umechanganya,ile thd ilikua ni Joslin anayeuza chipsi sio Suma G.