Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh.banana kashindwa kulipa rent mkuu?wasanii wakali sana walipoteana toka aibuke yule dogo wa Tandale nilishangaa sana eti hata akina Banana Zoro waliokuwa na sauti tamu kwelikweli na wao sasa hivi hakuna anaewajali wanashindwa hata kulipa Rent
Banana yupo, anatumbuiza kwenye hoteli kubwa kubwa za Kitalii. Ndio sababu humsikii sana kwenye maisntream mediawasanii wakali sana walipoteana toka aibuke yule dogo wa Tandale nilishangaa sana eti hata akina Banana Zoro waliokuwa na sauti tamu kwelikweli na wao sasa hivi hakuna anaewajali wanashindwa hata kulipa Rent
Easy I ft Suma GHuyu mshikaji alikua na ngoma yake inaitwa Mshikaji demu wako ananitaka.
Yupo wapi huyu mwamba siku hizi?
Hiyo ngoma alishirikishwa na Easy to the IHuyu mshikaji alikua na ngoma yake inaitwa Mshikaji demu wako ananitaka.
Yupo wapi huyu mwamba siku hizi?
Atakuwa yupo kwenye kampuni aliyoianzisha ya SUMA JKT.
Uswahilini kuna vitukooooooooo.
Wasanii wa zamani hata idea zao za kuimba sijui zilikuwaje yaaan.
Kaka, unanikumbusha mbali sana, hasa kwa sisi tuliowahi kuwa Ma Dj enzi izo za uanafunzi!Huyu mshikaji alikua na ngoma yake inaitwa Mshikaji demu wako ananitaka.
Yupo wapi huyu mwamba siku hizi?
Na vile vituko vyake eehAtakua uswahilini.