Hivi Tanzania kuna mgao wa umeme?

Hivi Tanzania kuna mgao wa umeme?

Upepo wa Pesa

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
21,600
Reaction score
35,158
Tunajua kwamba DAWASA wametangaza kwamba kuna mgao wa maji hili sina shaka nalo!

Je, TANESCO wamesha tangaza kuna mgao wa umeme? Maana siku nzima ya leo umeme hakuna!

Kama kuna anajua tafadhali nijulishe na pia nipatie ratiba ya mgao!!

Hivi kweli miaka 60+ ya uhuru umeme na maji bado ni shida daaah!
 
Tunajua kwamba DAWASA wametangaza kwamba kuna mgao wa maji hili sina shaka nalo!

Je TANESCO wamesha tangaza kuna mgao wa umeme? Maana siku nzima ya leo umeme hakuna!

Kama kuna anajua tafadhali nijulishe na pia nipatie ratiba ya mgao!!

Hivi kweli miaka 60+ ya uhuru umeme na maji bado ni shida daaah!

D12EEE82-41B0-442B-9C6E-975971E391CF.jpeg
 
Mwanza mjini kila siku iendayo kwa Mola lazima ukatike! Jana wamekata usiku, siku nyingine huwa mchana! Sijui Jamaa wanashida gani!
 
Mwenye video ya fanta na mirinda jamani!🥺
 
Back
Top Bottom