Hivi Tanzania kuna msanii yeyote anamzidi Ally Kiba kwa ubinafsi na unafiki?

kiba anakaa wapi kwani??[emoji23][emoji23]
 
Mkuu umeleta Uzi ukiwa hujafanya uchunguzi wowote Kuhusu kiba..... Kingine hata kama sivyo , Ali kiba kazi yake mziki au kuwish watu happy birthday mitandaoni.... Inaonekana unapenda sana maisha ya kujionyesha na kujitangaza kwa watu tukikuchunguza vizuri.... Jamaa ana life style tamu sana... Usi force MTU kuishi unavyotaka wewe
 
hiyo nimetolea mfano tu maana ningeanza kumuelezea kimoja baada ya kingine thread ingekua ndefu sana
 
CHUKI BINAFSI HAINA NAFASI KWENYE JAMII
 
hiyo nimetolea mfano tu maana ningeanza kumuelezea kimoja baada ya kingine thread ingekua ndefu sana
Au unataka tukuletee screenshot ya watu aliowawish hiyo birthday.

Haina haja ya mtu kuishi kwa kuigiza.... Yale ni maisha yake na angalia mziki wake.
Unataka nayeye ajichukuo video yupo gym au yupo na manzi ake ndipo muone yeye msanii bora
 
tuwe wa kweli tu tusiogopane huo ndo ukweli tena ningekuwa karibu na ali k ningemchana tu maana ukweli unauma ila ni tiba
 
wala sina chuki nae bali mwambieni mtu wenu abadilike aache ubinafsi
Pengine mtazamo wako kwake ni hasi kwani huyu jamaa anapendwa na wengi na katika udhaifu wake hayo uliyoyaandika ni wewe tu uliyeyaona???
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] uwiiiii nimecheka sana
hahahah umenifanya na mie nicheke kwanguvu nifah nilikuwa namchokoza hanse maana yeye ndo anajifanya anampenda sana huyu tunda
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] , Kibakuli saizi yake Gigy machupi hana uwezo wa kummiliki Tunda
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji31] [emoji23] [emoji23]
 
Mtoa mada kumfollow mtu n uamuz wa mtu na cyo lazima istoshe huwez kujua lbda account yke inamilikiwa na management yakrbn cyo yy
 
hahahaha not again!!!!!!!!!!! sweet heart kila siku unalimwa ban uwe mpole bass wacha utukutu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…