Hatari na nusuMaduka mengi ya sim yanamilikiwa na vigogo wa TBS
Tanzania ukitaka kununua kitu chochote basi nunua sehemu sahihi. Kama ni simu, nenda maduka yanayofahamika. Achana na hizi chochoro za Kariakoo.Hii nchi ina mambo ya ajabu sana mpaka mtu unashindwa kuelewa hizi taasisi zinafanyje kazi. Mfano mzuri Shirika la Viwango pamoja na Tume ya Kuwalinda Walaji ziko wapi wakati watu wanaingiza Bidhaa Feki kila mahali na wanauza kwa uhuru kabisa. Imagine mtu anatangaza kabisa iPhone 15 Pro ni Tsh. 380,000. Hivi kwa style hiyo si kuna watu wanalipa hadi mamilioni bila kujua wananunua Simu Feki?
Mkuu upo sahihi.kabisa Mimi ni.muhanga!Ukiwa na akili timamu ukaambiwa simu ni copy alafu ukanunua kwa bei ya juu akili yako pia itakuwa haina akili.
Unless kama zina madhara kiafya hapo ni mwendo wa wajinga ndio waliwao AKA 'Kasongo yeye"