Hivi tech industry imejaa wezi watupu?

Hivi tech industry imejaa wezi watupu?

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Nilikuwa nacheki hizi movie zinazohusiana na makanpuni ya tech yalivyoanza

Kuna hii The social network, hii inahusu jinsi facebook ilivyoanza. Inaonekana Mark alipewa hela na jamaa fulani awatengenezee website ya mawasiliano. Kaiba idea katengeneza yake.

Kuna The pirate of silicon valley, hii inahusu story ya Microsoft na Apple. Kama jina lenyewe linavyosema humi kila mtu ni haramia.

Kuna hii comedy series inaitwa Sillicon Valley humo kila mtu ni mwizi wa technolijia ya mwingine.

Bado tuje kwenye tech Giants za China, karibu zote ni copy za makampuni ya Marekani na inasemwa kuwa kampuni za China zinaongoza kwa kuibiana tech.

Inaonekana kwenye tech industry huwezi survive bila kuwa mwizi.
 
Inakubidi kuielewa industry ya technology vzr before you jump on to that conclusion. Nakumhuka hata wakat hiyo movie ya "the social neywork" inatoka Marck aliwah ku comment akasema sio kila kikichoigizwa mle ndan ni cha kweli.
 
Nilikuwa nacheki hizi movie zinazohusiana na makanpuni ya tech yalivyoanza

Kuna hii The social network, hii inahusu jinsi facebook ilivyoanza. Inaonekana Mark alipewa hela na jamaa fulani awatengenezee website ya mawasiliano. Kaiba idea katengeneza yake...
Yaani tumeshindwa hata kuiba teknolojia ya kutengeneza vijiti vya kuchokoa meno?
Ushirikina pekee ndio teknolojia giza ambayo kuiba ujuzi wake unahitaji hesabu kali na za juu mno
Haha hahaha Mshana Jr, mi ningekuwa nayajua hayo Mambo ningewakomesha ATCL, ningekuwa napaki ungo wangu Kariakoo, Mwanza nauli elfu kumi tu, dakika tano tunatua.

Kwa siku ningekuwa nalaza hela nzuri kabisa.

Goma likitoka Mwanza linapiga route ya Moshi/Arusha, likirudi linarushwa Mbeya.
 
Yaani tumeshindwa hata kuiba teknolojia ya kutengeneza vijiti vya kuchokoa meno?

Haha hahaha Mshana Jr, mi ningekuwa nayajua hayo Mambo ningewakomesha ATCL, ningekuwa napaki ungo wangu Kariakoo, Mwanza nauli elfu kumi tu, dakika tano tunatua.
Kwa siku ningekuwa nalaza hela nzuri kabisa.
Goma likitoka Mwanza linapiga route ya Moshi/Arusha, likirudi linarushwa Mbeya.
Hahahaha kuna mafundi wapo daily mizigo inafika destination bila kulipa hata ndururu
 
Kuna hii The social network, hii inahusu jinsi facebook ilivyoanza. Inaonekana Mark alipewa hela na jamaa fulani awatengenezee website ya mawasiliano. Kaiba idea katengeneza yake.
Correction kidogo.

Wale mapacha walimjua mark baada ya kusikia kwamba ameweza kutengeneza website ya facemash ndani ya usiku mmoja tu tena akiwa amelewa na kupata users 22000.

Hivyo nia yao walikuwa wamtumie kama muajiriwa wao sababu wao wana pesa. Na wao Idea yao ilikuwa ni kama dating site.

Mark hakuiba ile idea wala hakupewa pesa na wale mapacha bali yeye alikuwa na Idea nzuri zaidi ya kwao akaenda kutengeneza yake ambayo ni The Facebook.
Ni vitu viwili tofauti ni kama wewe uje na Idea ya kuprogram badoo lakini mimi niende kutengeneza Instagram au Twitter.
Alafu wewe unisue kwa kuiba Idea yako kama intellectual property

baadae mark akamsaliti rafiki yake Eduardo baada ya kushawishiwa na sean parker.
Huwezi kusema ni usaliti sababu Eduardo alijeopardize company kwa kufreeze account ya company hivyo alipata alichokitaka.

Hapohapo mark alipoona sean amemtreat rafiki yake Eduardo kwa dharau basi akaita polisi kumkamatisha na kumtoa nje ya company sean parker kwa sababu ya madawa kule kwenye ile party ya 1 million members.

Mimi nadhani Kwenye mambo ya tech inabidi uwe mjanja na utumie akili nyingi kusurvive ni mtoe mtu au utolewe.
Pia kutumia sheria vizuri na wanasheria zaidi.
 
Hata ukisoma IT lazima uwe mjanja mjanja...ndio maana wakianzisha business wana win sana..wahuni
 
Nilikuwa nacheki hizi movie zinazohusiana na makanpuni ya tech yalivyoanza

Kuna hii The social network, hii inahusu jinsi facebook ilivyoanza. Inaonekana Mark alipewa hela na jamaa fulani awatengenezee website ya mawasiliano. Kaiba idea katengeneza yake.

Kuna The pirate of silicon valley, hii inahusu story ya Microsoft na Apple. Kama jina lenyewe linavyosema humi kila mtu ni haramia.

Kuna hii comedy series inaitwa Sillicon Valley humo kila mtu ni mwizi wa technolijia ya mwingine.

Bado tuje kwenye tech Giants za China, karibu zote ni copy za makampuni ya Marekani na inasemwa kuwa kampuni za China zinaongoza kwa kuibiana tech.

Inaonekana kwenye tech industry huwezi survive bila kuwa mwizi.
Ku copy Kupo sana tu, ila issue moja uhakika kama huna ujuzi hata ukiiba huwezi kuendeleza.

Chukulia mfano Mzuri hapa kwetu kuna imani kwamba hela ya Ujambazi ama ya madini hazikai, ukipata unatumia inaisha, hii imani ipo sababu hawa wanaopata hizi hela sio wajasiriamali, ndio maana wanashindwa kuziendeleza.

Kwenye Tech hawa kina Job, Bill Gate, Zuck na wengine, cha kwanza kabisa walikuwa na vision na walizaliwa kama wajasiriamali, japo walicopy na kufanya maovu mengi ila walishikilia maono yao.

Job toka mwanzo yeye ni mtu wa muonekano, alikua anajali muonekano kuliko functionality, Apple mpaka Leo ni luxury Brand, wanajali zaidi fashions kuliko features.

Bill gate Alikuwa mtu wa productivity, alileta programs za kufanya Computer itumike makazini na mpaka Leo Microsoft ndio wapo vizuri eneo hili.

Hivyo unakuta ni kweli wameiga ideas, ila wao pia ni watu ambao walikuwa vizuri kwenye field zao.

Na UI ni ngumu sana kupatent.
 
Ku copy Kupo sana tu, ila issue moja uhakika kama huna ujuzi hata ukiiba huwezi kuendeleza.

Chukulia mfano Mzuri hapa kwetu kuna imani kwamba hela ya Ujambazi ama ya madini hazikai, ukipata unatumia inaisha, hii imani ipo sababu hawa wanaopata hizi hela sio wajasiriamali, ndio maana wanashindwa kuziendeleza.

Kwenye Tech hawa kina Job, Bill Gate, Zuck na wengine, cha kwanza kabisa walikuwa na vision na walizaliwa kama wajasiriamali, japo walicopy na kufanya maovu mengi ila walishikilia maono yao.

Job toka mwanzo yeye ni mtu wa muonekano, alikua anajali muonekano kuliko functionality, Apple mpaka Leo ni luxury Brand, wanajali zaidi fashions kuliko features.

Bill gate Alikuwa mtu wa productivity, alileta programs za kufanya Computer itumike makazini na mpaka Leo Microsoft ndio wapo vizuri eneo hili.

Hivyo unakuta ni kweli wameiga ideas, ila wao pia ni watu ambao walikuwa vizuri kwenye field zao.

Na UI ni ngumu sana kupatent.
Sahihi chief
 
Back
Top Bottom