Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 402
Just down the memory lane nimekumbuka terminologies hizi tulizojifunza enzi zile za TANU & ASP na baadaye mwanzoni kabisa mwa CCM. Sijui kama bado zipo na kama zipo zina maana zenye nguvu kama za wakati ule?
1. Kabaila
2. Bepari
3. Kupe
4. Mnyonyaji
5. Kabwela
6. Mtwana
1. Kabaila
2. Bepari
3. Kupe
4. Mnyonyaji
5. Kabwela
6. Mtwana