Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 402
Hapo ulitaka kusema nini? maana yake waliopo madarakani kwa sasa ndio Majina yanayowafaa! Acha uchokozi!....
Siku hizi kuna majina mapya kama
1.Mafisadi papa
2.mafisadi nyangumi
3.Wawekezaji
4.Wahisani