Hivi TFF mna kitengo cha ushangiliaji na uhamasishaji?

Hivi TFF mna kitengo cha ushangiliaji na uhamasishaji?

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Hili ni swali kwa TFF.
Je TFF wana kitengo na bajeti ya uhamasishaji wa ushindi kwa timu yetu ya Taifa au hata timu zinazowakilisha Taifa?

Hivi hawa TFF wanategemea washabiki wa Taifa Stars ni wale wa kujitolea tu?

Katika maandalizi ya mechi kipengele hiki wanakizingatia?au wanategemea madhabiki wa Simba na Yanga washabikie kwa niaba ya Taifa?

Je kuna bajeti ya kuhakikisha Taifa Stars inashingiliwa?kama ipo nani anaila?
 
aisee hili nalo jipya kwangu,, nijuavyo mimi timu inajiongezea mashabiki na wapenzi kutokana na matokeo mazuri na mpira mzuri uwanjani,, sijawahi kusikia popote eti uongozi unalipa kikundi cha watu ili kusapoti timu fulani,,
 
Fika ofisini kwetu upate taarifa na utaratibu Wa masuala hayo uliyouliza
 
Back
Top Bottom