simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,418
- 9,209
Mkuu soma kwa makini hio mada, mtoa mada ameuliza, so ilikua ni simple tu ,wewe kuandika hoja yako , mbona watu unaonekana unapenda shari.Ndo maan wazungu wanatudharau kumbe sisi wenyew ngozi nyeusi tunaoneana wivu na hatutaki kumpa mtu mweusi sifa zake...angekuwa mzungu hapo ungesema pesa haitoshi....mtoa mada rudi shule upumbavu wa kutojipa heshima utoke
Unajua bhana nadhan ulaya mchezaji anapokua anauhitaj mkubwa basi lazima hata bei ipandishwe,Pamoja na kuwa midfielder mzuri kweli thamani ya Pogba inafikia € milioni mia? Sifa zipi zinapelekea Pogba kuwa na thamani hii ya kutisha?
Watu wengine wa ajabu sana. Ilikuwa anyamaze tu au ajibu Pogba anazo sifa a, b, c ambayo zinapelekea kuthaminiwa sana. Hayo ya waafrika oh, sijui wazungu blah blah completely irrelevant to topic.Mkuu soma kwa makini hio mada, mtoa mada ameuliza, so ilikua ni simple tu ,wewe kuandika hoja yako , mbona watu unaonekana unapenda shari.
hapo angekuwa mzungu basi hoooo ngonjera nyingi HUYO BALE PALE MADRID ANAKITUGANI KIPYA over
Kwa hiyo waliomthaminisha kwa bei hiyo na walionunua kwa bei hiyo ni wapuuzi.Ni mzur bu hafiki thaman hio kabisa
Ni mtazamo wangu tu mkuu...na sio mm tu mwny mtazamo huo kwan hata zidane,wenger na klopp na wao wamesema kuwa pogba ni mchezaj mzur but si wa thaman ya Euro 100mil..sasa cjajua kwann unahukum watanzania tu kwamb wana matatizo....you must have other problems to focus on achana na haya mambo ya mpiraKwa hiyo waliomthaminisha kwa bei hiyo na walionunua kwa bei hiyo ni wapuuzi.
Watanzania tunaongea sana kana kwamba ni wataalamu wa kila jambo..Wale wanaujua mpira na wanafanya biashara hiyo ya mpira miaka na miaka wakati sisi hata hatujui lolote then anatokea mtu anasema hana thamani hiyo...
Acha uzembe wa KIFIKRA...Kwa hiyo waliomthaminisha kwa bei hiyo na walionunua kwa bei hiyo ni wapuuzi.
Watanzania tunaongea sana kana kwamba ni wataalamu wa kila jambo..Wale wanaujua mpira na wanafanya biashara hiyo ya mpira miaka na miaka wakati sisi hata hatujui lolote then anatokea mtu anasema hana thamani hiyo...
Basi mwenyewe ndo mwenye thamani hiyo.Kama unafikiri hana thamani hiyo,je Man u ndo mara ya kwanza kununua wachezaji? Au unafikiri wamependa tu kutoa dau hilo.Acha uzembe wa KIFIKRA...
Pogba hana thamani hiyo..!
Pogba anastaili kuuzwa kwa hilo dau. Kwa sasa hakuna kiungo anayeweza kufananishwa nae. Uafrika ndio ajabu? Angekuwa mzungu?Pamoja na kuwa midfielder mzuri kweli thamani ya Pogba inafikia € milioni mia? Sifa zipi zinapelekea Pogba kuwa na thamani hii ya kutisha?