Are yuh serious..!?Pogba anastaili kuuzwa kwa hilo dau. Kwa sasa hakuna kiungo anayeweza kufananishwa nae. Uafrika ndio ajabu? Angekuwa mzungu?
Hafikii hata nusu uwezo wa Kevin De Bruyne..!Pogba anastaili kuuzwa kwa hilo dau. Kwa sasa hakuna kiungo anayeweza kufananishwa nae. Uafrika ndio ajabu? Angekuwa mzungu?
Mashabiki wa Man u nadhani watakuwa na majibu mazuri[emoji2] [emoji2]Pamoja na kuwa midfielder mzuri kweli thamani ya Pogba inafikia € milioni mia? Sifa zipi zinapelekea Pogba kuwa na thamani hii ya kutisha?
Wewe thamaani yako bei gani..... Tuanzie hapoPamoja na kuwa midfielder mzuri kweli thamani ya Pogba inafikia € milioni mia? Sifa zipi zinapelekea Pogba kuwa na thamani hii ya kutisha?
Thamani na bei vitu viwili tofauti. Nasema hivi bei ya Pogba hailingani na thamani kwa taratibu za soko huria. Man the price is more fascinating than the value.Wewe thamaani yako bei gani..... Tuanzie hapo
Upo sahihi kabisa. Hata wanauchumi wanaamini thamani ya kitu chochote kinatokana na two determinants ambazo ni Demand and Availability.Unajua bhana nadhan ulaya mchezaji anapokua anauhitaj mkubwa basi lazima hata bei ipandishwe,
Alf pia nadhan man u wanategemea kurudisha hela yao kwa njia ya kuuza jezi zenye jina lake...
Ni mawazo yangu tu
Bei ya Pogba sidhani inafuata kanuni za demand and supply. € 120 milioni kufuru.Upo sahihi kabisa. Hata wanauchumi wanaamini thamani ya kitu chochote kinatokana na two determinants ambazo ni Demand and Availability.
Nimezungumzia vitu vinavyoipa thamani ya kitu.mfano chumvi na sukari.sukari ipo juu kutokana na demand yake pamoja na availability yake kuwa very limited.bei ya pogba ni £89.Bei ya Pogba sidhani inafuata kanuni za demand and supply. € 120 milioni kufuru.
Kauzu fc shabiki huyo wale waliokuwa wanambeba chief ndio mmoja wapoMkuu soma kwa makini hio mada, mtoa mada ameuliza, so ilikua ni simple tu ,wewe kuandika hoja yako , mbona watu unaonekana unapenda shari.
Kauzu fc shabiki huyo wale waliokuwa wanambeba chief ndio mmoja wapoMkuu soma kwa makini hio mada, mtoa mada ameuliza, so ilikua ni simple tu ,wewe kuandika hoja yako , mbona watu unaonekana unapenda shari.