Hivi toaster (kibaniko) ni nini?

Hivi toaster (kibaniko) ni nini?

Naren

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2016
Posts
692
Reaction score
428
955336746c27ae866f85070f9d9251f6.jpg

Habari wadau!
Binafsi sijawahi tumia hiki kifaa au kukikuta kinatumika mahala popote nilipoenda( kwa majirani, marafiki, ndugu n.k) em' tufahamishane kinakazi gani na kunatofauti gani kati ya mikate tunayoinunua dukani na ile inayowekwa kwenye toaster?

COZ:Kibongobongo tusije tukawa tunalalamika mikate haina ladha kumbe hatujui namna ya kuiandaa
 
955336746c27ae866f85070f9d9251f6.jpg

Habari wadau!
Binafsi sijawahi tumia hiki kifaa au kukikuta kinatumika mahala popote nilipoenda( kwa majirani, marafiki, ndugu n.k) em' tufahamishane kinakazi gani na kunatofauti gani kati ya mikate tunayoinunua dukani na ile inayowekwa kwenye toaster?

COZ:Kibongobongo tusije tukawa tunalalamika mikate haina ladha kumbe hatujui namna ya kuiandaa
Toaster ni kifaa,Toast ni kitendo,Unanua mkate dukani,unachomeka slesi za mkate ili ziwe kaukau kwa kiasi unachotaka,maana mle ndani ya toaster kuna vitu kama coil,then unapaka madikodiko unayo taka,inafanya mkate usiwe wa baridi,na ukiopaka jam na siagi usiwe unafyonza madikodiko!
 
toaster kazi yake ni kubanika slice za mkate na cookies nyingine for better taste!
 
sio kweli kayaman,haibaniki cookies wala haiongezi taste!ni ya kukausha slesi za mikate!
taste ya toasted bread hadi ukawa wa brown ni tofauti kabisa na mkate ulioutoa dukani kwa mangi!
 
Mi nilivyoona umesema kibaniko kwenye mabano basi umeelewa kumbe apeche alolo.... Usingeweka mabano
 
Toaster ni kifaa,Toast ni kitendo,Unanua mkate dukani,unachomeka slesi za mkate ili ziwe kaukau kwa kiasi unachotaka,maana mle ndani ya toaster kuna vitu kama coil,then unapaka madikodiko unayo taka,inafanya mkate usiwe wa baridi,na ukiopaka jam na siagi usiwe unafyonza madikodiko!
kumbe ndio hivyo
 
taste ya toasted bread hadi ukawa wa brown ni tofauti kabisa na mkate ulioutoa dukani kwa mangi!
Sio kweli Kayaman mkate taste yake ni moja kwa hyo kama huna toaster unatumia pan ya kukaangia mayai thats the substitute for a toaster!Kutoast ni kuukasha uwe kama kaukau tu huongezi kitu chochote utaongezaje taste!
 
955336746c27ae866f85070f9d9251f6.jpg

Habari wadau!
Binafsi sijawahi tumia hiki kifaa au kukikuta kinatumika mahala popote nilipoenda( kwa majirani, marafiki, ndugu n.k) em' tufahamishane kinakazi gani na kunatofauti gani kati ya mikate tunayoinunua dukani na ile inayowekwa kwenye toaster?

COZ:Kibongobongo tusije tukawa tunalalamika mikate haina ladha kumbe hatujui namna ya kuiandaa

Toaster ni kifaa ambacho hutumika kubanika mkate ambao umekwishapikwa. Kwa kawaida mkate wa toast hubanikwa ukiwa mkavu (yaani ukiwa haujapakwa siagi); lakini wengine hupaka mikate hiyo mayai ili kupata ladha ya mayai kutoka ktk mikate hiyo.

TAHADHARI: Sishauri watu kutumia toaster kwa sababu toaster huishia kuunguza mkate wako na hivyo kujikuta ukiishia kula makapi. Kila chakula kina kiwango chake cha upishi na ukizidisha basi virutubisho vyote hutoweka.
 
Mikate huwa na bacteria, ukitumia toaster angalau wale algae utawaua.
 
JAMANI TOSTER HAITUMIKI KWA MKATE TU HATA KWA VIPANDE VYA VIAZI VITAMU PIA NA MIHOGO
 
Back
Top Bottom