Hivi Toyota Noah ipo class ipi (super extra)

Ukaridayo

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2012
Posts
515
Reaction score
476
Je linafaa kwa matumizi binafsi kama gari zingine ndogo... rav4, carina, premio n.k ktk matumizi ya kuendea job!!

Nauliza
au lipo kwenye class ya commercial van..

mana lina feature zote zinazopatikana kwenye gari ndogo especial hizi sedan car, confortability, fuel efficient, luxury, n.k tofauti na toyota hiece ...

Nauliza lipo class gani? au ndiyo matumizi siyo ya wabongo kuyageuza daladala..
kuna mwamba wangu mmoja anataka kitako chake sasa kipumzike kwenye hii brand, je kwa matumizi ya hapa na pale linafaa kwa hapa mjini...

2WD, 1990Cc, 1999Year.
 
Muulize ana bei gani tumsaidie gari ya kuchukua ila kama kashaamua kuchukua hilo kwa ajili ya safari kazini tuu!!...ajitahid hata alphard basi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…