Hivi TPB wameshaita second interview baada ya ile

Hivi TPB wameshaita second interview baada ya ile

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2020
Posts
1,409
Reaction score
2,263
Zimepita wiki tatu sasa tangu Ile interview ya watu 20, 000 lifanyike wakitaka watu 58 tu
 
kiri12 mbona Wizara ya Afya wameita watu kwenye interview kipind hiki hiki cha maombolezo. Hao TPB wanashindwaje. Inabidi watie ili tujue mbivu na mbichi
 
Nadhani bado mkuu, ulifanya vizuri eeh hadi unategemea kuitwa?, mi matumaini ni 0.01 nimeona maswali yote chenga😂
 
Back
Top Bottom