Hivi TPB wameshaita second interview baada ya ile

Sasa mko 9800....waangalie ipi waaache ipi.
kila kitu kinafanyika, ukiona hujaitwa Ukweli wa nafsi yako unahusika. Mara nyingi baada ya kutoka katika chumba cha mtihani mtihaniwa huwa anajua matokeo ya alichokifanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…