Hivi TRC Treni za Vichwa mchongoko zitaanza kutumika lini?

Hivi TRC Treni za Vichwa mchongoko zitaanza kutumika lini?

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Hongera kwa kuanza safari za treni ila mpaka sasa naona vichwa vya makwomwe. Cha mchongoko kipo wapi japo Mbarawa alituambia ndio walivyo nunua.

images (4).jpeg
 
Kimeliwa pua

HONGERA KWA KUANZA SAFARI ZA TRENI ILA MPAKA SASA NAONA VICHWA VYA MAKWOMWE.
CHA MCHONGOKO KIPO WAPI JAPO MBARAWA ALITUAMBIA NDIO WALIVYO NUNUA.
View attachment 3051888
Walisema hivyo ndivyo watatumia wenye hadhi ya juu.
Wengine watumie vinavyoonekana.
Ukipita huko na trani yao utayaona mabehewa yale ya ghoroga wameyapaki yanapata kutu yakisubili bei sawa na za ndege ndege.
 
Walisema hivyo ndivyo watatumia wenye hadhi ya juu.
Wengine watumie vinavyoonekana.
Ukipita huko na trani yao utayaona mabehewa yale ya ghoroga wameyapaki yanapata kutu yakisubili bei sawa na za ndege ndege.
Wajanja wanasubiri kuyapeleka kusiko julikana,ukiingia keko mpaka kutokea kamata Kuna magofu mengi ya viwanda na hakuna consolidation na hakuna anaejali.
 
Wajanja wanasubiri kupeleka kusiko julikana, ukiingia ndani mpaka kutokea kamata Kuna mambo mengi ya viwanda na hakuna consolidation na hakuna anaejali.
Mango wa kuua usafiri huo mbona upo siku nyingi.
.Hapa juzi walipoona watu wengi wanatumia usafiri huo asubuhi hadi morogoro, kisha kuunga gari kuelekea jirani, wakaona wawaongezee nauli kwa kigezo cha kusema ni express.
Na isiyo na tija wakaiweka saa tatu wanayosema kawaida.
Tofauti yake ni dakika saba tu .
 
HONGERA KWA KUANZA SAFARI ZA TRENI ILA MPAKA SASA NAONA VICHWA VYA MAKWOMWE.
CHA MCHONGOKO KIPO WAPI JAPO MBARAWA ALITUAMBIA NDIO WALIVYO NUNUA.
View attachment 3051888
Tatizo hizo treni zenye vichwa hivyo ni duni kwa ndani kuliko hili tulilo anza kutumia hapo ndiyo kimbembe kinapo anzia maana bei ya tiket ya hiyo treni ya EMU ni kubwa sana ila kwa ubora wa ndani na madhari ni duni je nani atatoa hela kubwa kupanda hiyo treni duni
 
Wajanja wanasubiri kupeleka kusiko julikana, ukiingia ndani mpaka kutokea kamata Kuna mambo mengi ya viwanda na hakuna consolidation na hakuna anaejali.
Mpango wa kuua usafiri huo mbona upo siku nyingi.
.Hapa juzi walipoona watu wengi wanatumia usafiri huo asubuhi hadi morogoro, kisha kuunga gari kuelekea jirani, wakaona wawaongezee nauli kwa kigezo cha kusema ni express.
Na isiyo na tija wakaiweka saa tatu wanayosema kawaida.
Tofauti yake ni dakika saba tu .
Kwani kwenye hizi trains abiria wanakaa kwenye kichwa? Ina tofauti gani wakubwa kutumia vichwa mchongoko na pangu pakavu kutumia vichwa komwe?
Sasa hilo swali aulizwe Kadogosa.
Kama ni vya kila mtanzania kwa nini hawavitumii?
 
Back
Top Bottom