Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trekta ni chombo kizuri sana kama wewe ni mkulima unaweza kulima mashamba Yako. Pia unawakodishia watu wengine. Ila nunua trekta mpya ndiyo utaona faida yake. Spea ziko nyingi tu, usiogope chapa kazi.Bro achana na mawazo ya trecta yanasumbua sana spea.Ninakushauri kama hiyo hela unayo basi nenda dar au mutukula tafuta fuso utanishukuru
Sijaona Swaraj ya 35m sokoni..wewe uliona wapiSwaraj inapenda udongo mwepesi ila bei yake ni 35 million pamoja na jembe lake.. Kuna maeneo kama Kilindi-Tanga, Kibaigwa-dom, Kiteto-Manyara, baadhi ya maeneo ya Morogoro kwa Swaraj inafanya vizuri sana! Kwa huko uliko hapo ni valment, Massey, Ford, New Holland ila pia Kwa faida ya haraka tanguliza shamba lako hata hekari 400 hivi halafu piga vibarua vya kutosha.. faida itakuwa ya kutosha
Mshauri mtu kulingana na mahitaji. Huyo ni mkulima sasa atalimia fuso?Bro achana na mawazo ya trecta yanasumbua sana spea.Ninakushauri kama hiyo hela unayo basi nenda dar au mutukula tafuta fuso utanishukuru
Sasa mimi nalima ekari 100 za dengu Ndago na Mukulu, na wewe unayelima vibarua ekari 700 nani bingwa?! Weka hesabu zako vizuri mkuu Ismoo kisha uje tubishane hapaOkwi, Boban, Sunzu wee nunua trecta mbona Ndago watu now days wana kodi sana kwaajili ya kulima mashamba ya kule mbugani zinziligi,makunda na motomoto. Hata mashamba ya huku mtaani watu wana limia trecta siku hizi. Kuhusu ushauri wa trecta la kununua nunua kama lile la Generally Samweli Nkulu Massey Fugason [emoji16][emoji91]
Hakuna trekta ya kulima eka 700 vibarua kwa msimu mmoja,ukiwa na trekta ni heri uwe na shamba lako kabisa walau eka 200 au 300,utalima vibarua vichache kwa ajiri ya kupata hela ya kupalilia na kujazia mafuta kwa ajiri ya kulimia shamba lako.baada ya miaka mi5 itakuwa imenunua trekta nyingne.lkn trekta kupga vibarua tu inaweza chakaa na usijue hela imeenda wapi.Sasa mimi nalima ekari 100 za dengu Ndago na Mukulu, na wewe unayelima vibarua ekari 700 nani bingwa?! Weka hesabu zako vizuri mkuu Ismoo kisha uje tubishane hapa
Kidogo umeongea.Hakuna trekta ya kulima eka 700 vibarua kwa msimu mmoja,ukiwa na trekta ni heri uwe na shamba lako kabisa walau eka 200 au 300,utalima vibarua vichache kwa ajiri ya kupata hela ya kupalilia na kujazia mafuta kwa ajiri ya kulimia shamba lako.baada ya miaka mi5 itakuwa imenunua trekta nyingne.lkn trekta kupga vibarua tu inaweza chakaa na usijue hela imeenda wapi.