Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naaam, hizo kanda hapo chini we all know ni zile jamii zinazoridhika na umaskiniMe nahisi zitakazopeta ni hizi.
1.Lake zone
2.Southern Highlands
3.Nothern Highlands
4.Coast
Zitakazokufa njaa
1.Central zone
2.Southern zone
3.West zone
4.Zanzibar
Watu watakaokufa njaa asubuhi kabla ya kupambazuka ni watu wa Dar es Salaam.Me nahisi zitakazopeta ni hizi.
1.Lake zone
2.Southern Highlands
3.Nothern Highlands
4.Coast
Zitakazokufa njaa
1.Central zone
2.Southern zone
3.West zone
4.Zanzibar
Hamna mkakati wa kunufaisha hizo wilaya, wageni wengi wanatokea arusha kwenda huko. Kungekuwa na airport ya kueleweka ingenufaisha basi tuSerengeti Iko mkoa wa mara Ila ni Kama hii mbuga hainufaishi kabisa wilaya ya Serengeti, Hawa wakurya walikomalia ng'ombe na kucheza ritungu nini, saivi ndio wanaamka eti,inatakiwa Serengeti international airport, yaani mtalii anatua kia anapanda usafiri mwingine wakati angetua Serengeti ni km chache mno kuifikia mbuga , akalala hapo hapo Serengeti, Sasa akituma kia anasafiri like 400km Tena , inakuwa usumbufu kwa kwa mtalii ku incur excess cost
We unaongea utumbo, watalii hushuka KIA siyo kwenda Serengeti pekee, wanaanzia KINAPA, Tarangire, Manyara, Ngorongoro wanamalizia Serengeti. Usibanwe na mavi bureSerengeti Iko mkoa wa mara Ila ni Kama hii mbuga hainufaishi kabisa wilaya ya Serengeti, Hawa wakurya walikomalia ng'ombe na kucheza ritungu nini, saivi ndio wanaamka eti,inatakiwa Serengeti international airport, yaani mtalii anatua kia anapanda usafiri mwingine wakati angetua Serengeti ni km chache mno kuifikia mbuga , akalala hapo hapo Serengeti, Sasa akituma kia anasafiri like 400km Tena , inakuwa usumbufu kwa kwa mtalii ku incur excess cost
Hizi propaganda na pesa Yako tu, hata wewe ukitaka ushinde shindanoa mwanamke mzuri mwenye shepu tunafanya mpango unakuwa namba 1,2 na tatu Dunia nzimaRoyal Tour imeleta majibu....
Tanzania imechukua nafasi tatu top 10 kwa Africa na Zanzibar ipo ndani
1.Tanzania
3.Serengeti
7. Zanzibar - Haitakufa, ndio kwanza watakua sana kiuchumi....
Hawa wakiwa ni nchi yao kamili, ikawa Free Port, mtakuwa hamsafiri kwenda China au Dubai, mzigo wote mtaufata Zanzibar na hela yote mtaipeleka huko ........
Nakumbuka walijaribu hivi miaka ya mwanzo ya 90, kila kitu Dar kilikua kinatoka Zanzibar.....
View attachment 3230707
Zinazoridhika na umaskini ,dah!Naaam, hizo kanda hapo chini we all know ni zile jamii zinazoridhika na umaskini
Hivyo kamfanyie lissu ashinde uchaguzi,Hizi propaganda na pesa Yako tu, hata wewe ukitaka ushinde shindanoa mwanamke mzuri mwenye shepu tunafanya mpango unakuwa namba 1,2 na tatu Dunia nzima
Umekubali lakini mremboHivyo kamfanyie lissu ashinde uchaguzi,
Au lissu choka mbovu, kadandia mtumbwi wa vibwego akidhani huko kuna asali.....
Wewe choka mbovu hata kula yako shida unaota uremboUmekubali lakini mrembo
Basi dada , si vizuri kubishana na dada, umeshindaWewe choka mbovu hata kula yako shida unaota urembo
Choko unatafuta basha,Basi dada , si vizuri kubishana na dada, umeshinda
Zanzibar wana mafuta na utaliiMe nahisi zitakazopeta ni hizi.
1.Lake zone
2.Southern Highlands
3.Nothern Highlands
4.Coast
Zitakazokufa njaa
1.Central zone
2.Southern zone
3.West zone
4.Zanzibar