wanajamii;
nimeamka na kukuta kwenye news headline mambo ya richmond, dowans, epa, bot wtin tower, kipindupindu, kingunge bado mbuge, manji bado ni mwanachama wa nguvu ccm, rostam hajafungwa, kikwete napanda pipa tena.
Zaidi ya hapo eti bado kwenye soka kuna timu mbili tu, yaani yanga na simba!!
Huu ni mwaka gani??
Mwaka wa ombwe la uongozi
1800
1010 ad
No... hapana bwana, hata Mkwawa hajazaliwa bado?? historia nzuri ya nchi hii imeanza kipindi cha akina Mkwawa! graph ikapanda mpaka Nyerere ikafika maximum, then baadae ikaanza kushuka kwa kasi; yaani kadiri miaka inayoenda mbele ndiyo tunapata rais bomu zaidi,
Amina.Janjaweed,
Huu ni mwaka wa nzige... vuta subira oktoba si mbali sana panapo majaaliwa.
Annina
mwaka 2010wanajamii;
nimeamka na kukuta kwenye news headline mambo ya richmond, dowans, epa, bot wtin tower, kipindupindu, kingunge bado mbuge, manji bado ni mwanachama wa nguvu ccm, rostam hajafungwa, kikwete napanda pipa tena.
Zaidi ya hapo eti bado kwenye soka kuna timu mbili tu, yaani yanga na simba!!
huu ni mwaka gani??
mwaka 2010
haiwezekani... nakumbuka JK alituahidi maisha bora na kasi ya ajabu kutatua matatizo, sasa kwanini imekua hivi?