LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,491
- 12,560
Limepita basi la mwendokasi hapa watu wamejaa kupitiliza yaaani wamebanana humo ndani hatari, ikumbukwe miezi karibia mitatu imepita wameleta basi mpya 70 wazilaza hazifanyi kazi
Hapo hapo wanakwambia tujikinge na corona.
Hii Serikali sijui kama ipo makini kweli or tunapambana ili tupewe mikopo.
Na ndio maana hata hizi chanjo tunakuwa na mashaka nazo either zipo kwa ajili ya kutulinda or tuonekane tumo kwenye ramani ya dunia tupate mikopo
Maana nyuma ya pazia sehem hatarishi ambazo watu wanaweza kumwagiana huu ugonjwa ni kwenye vyombo vya usafiri hasa mwendokasi ambapo watu wanajazana maana magari machache.
But Serikali haionyeshi kama wapo serious kweli, huwezi laza gari 70 ukaacha gari chache zitumike ukijua kwamba upo ugonjwa hatarishi ambao unasambaa kupitia misongamano.
Hapo hapo wanakwambia tujikinge na corona.
Hii Serikali sijui kama ipo makini kweli or tunapambana ili tupewe mikopo.
Na ndio maana hata hizi chanjo tunakuwa na mashaka nazo either zipo kwa ajili ya kutulinda or tuonekane tumo kwenye ramani ya dunia tupate mikopo
Maana nyuma ya pazia sehem hatarishi ambazo watu wanaweza kumwagiana huu ugonjwa ni kwenye vyombo vya usafiri hasa mwendokasi ambapo watu wanajazana maana magari machache.
But Serikali haionyeshi kama wapo serious kweli, huwezi laza gari 70 ukaacha gari chache zitumike ukijua kwamba upo ugonjwa hatarishi ambao unasambaa kupitia misongamano.