Hivi tungewaunga mkono RENAMO, na jamhuri ya Rombesia ingezaliwa, lisingekuwa jambo la manufaa kwetu?

Hivi tungewaunga mkono RENAMO, na jamhuri ya Rombesia ingezaliwa, lisingekuwa jambo la manufaa kwetu?

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,657
Reaction score
20,967
Katika vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Msumbiji(1977-1992). Tanzania ilikuwa ikiwaunga mkono wajamaa wenzao FRELIMO dhidi ya RENAMO. Kawaida tulikuwa tukiaminishwa kuwa RENAMO ni waovu wasiofaa, lakini mtu kadri unavyokuwa na kupata habari zaidi unaelewa kuwa kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe huwa hakuna mbaya wala mzuri.

Sasa basi vita ilipokolea RENAMO wakapropose nchi igawanywe, wao waunde jamuhuri ya Rombesia kaskazini na magharibi mwa nchi. RENAMO wana mizizi sana kaskazini wakati FRELIMO wako sana kusini. Mpango huo haukufanikiwa.

Sasa nawaza iwapo tungewaunga mkono RENAMO na hiyo jamhuri ingeundwa si lingekuwa jambo la manufaa sana, hii nchi ingekuwa imebase sana kwetu tofauti na Msumbiji ya sasa iliyobase zaidi South Africa. Hatuna ushirikiano wowote wa maana na Msumbiji, Maputo ipo kilomita zaidi ya 2,000 kutoka Mtwara. Ingekuwepo Rombesia si hata umeme wa Cabora Bassa wangetuuzia? (kwa sasa wanauza South). Pia hawa jamaa wa kaskazini tunashare nao sana utamaduni, kuna Wamakua na Wamakonde huko.

Hata kitendo cha magaidi kuibuka kaskazini ya Msumbiji ni zao la jinsi eneo hilo lisivyojaliwa na Maputo, serikali iliyo zaidi ya km 1500. Kungekuwa na taifa hapo si kungekuwa stable?!

Je nchi hiyo ingeundwa, kungekuwa na faida kwetu?

Mozambique_map.jpg
 
Katika vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Msumbiji(1977-1992). Tanzania ilikuwa ikiwaunga mkono wajamaa wenzao FRELIMO dhidi ya RENAMO. Kawaida tulikuwa tukiaminishwa kuwa RENAMO ni waovu wasiofaa, lakini mtu kadri unavyokuwa na kupata habari zaidi unaelewa kuwa kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe huwa hakuna mbaya wala mzuri.

Sasa basi vita ilipokolea RENAMO wakapropose nchi igawanywe, wao waunde jamuhuri ya Rombesia kaskazini na magharibi mwa nchi. RENAMO wana mizizi sana kaskazini wakati FRELIMO wako sana kusini. Mpango huo haukufanikiwa.

Sasa nawaza iwapo tungewaunga mkono RENAMO na hiyo jamhuri ingeundwa si lingekuwa jambo la manufaa sana, hii nchi ingekuwa imebase sana kwetu tofauti na Msumbiji ya sasa iliyobase zaidi South Africa. Hatuna ushirikiano wowote wa maana na Msumbiji, Maputo ipo kilomita zaidi ya 2,000 kutoka Mtwara. Ingekuwepo Rombesia si hata umeme wa Cabora Bassa wangetuuzia? (kwa sasa wanauza South). Pia hawa jamaa wa kaskazini tunashare nao sana utamaduni, kuna Wamakua na Wamakonde huko.

Hata kitendo cha magaidi kuibuka kaskazini ya Msumbiji ni zao la jinsi eneo hilo lisivyojaliwa na Maputo, serikali iliyo zaidi ya km 1500. Kungekuwa na taifa hapo si kungekuwa stable?!

Je nchi hiyo ingeundwa, kungekuwa na faida kwetu?

View attachment 1925307
Bahati mbaya maono hayo hayakuwepo wakati huo
 
Katika vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Msumbiji(1977-1992). Tanzania ilikuwa ikiwaunga mkono wajamaa wenzao FRELIMO dhidi ya RENAMO. Kawaida tulikuwa tukiaminishwa kuwa RENAMO ni waovu wasiofaa, lakini mtu kadri unavyokuwa na kupata habari zaidi unaelewa kuwa kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe huwa hakuna mbaya wala mzuri.

Sasa basi vita ilipokolea RENAMO wakapropose nchi igawanywe, wao waunde jamuhuri ya Rombesia kaskazini na magharibi mwa nchi. RENAMO wana mizizi sana kaskazini wakati FRELIMO wako sana kusini. Mpango huo haukufanikiwa.

Sasa nawaza iwapo tungewaunga mkono RENAMO na hiyo jamhuri ingeundwa si lingekuwa jambo la manufaa sana, hii nchi ingekuwa imebase sana kwetu tofauti na Msumbiji ya sasa iliyobase zaidi South Africa. Hatuna ushirikiano wowote wa maana na Msumbiji, Maputo ipo kilomita zaidi ya 2,000 kutoka Mtwara. Ingekuwepo Rombesia si hata umeme wa Cabora Bassa wangetuuzia? (kwa sasa wanauza South). Pia hawa jamaa wa kaskazini tunashare nao sana utamaduni, kuna Wamakua na Wamakonde huko.

Hata kitendo cha magaidi kuibuka kaskazini ya Msumbiji ni zao la jinsi eneo hilo lisivyojaliwa na Maputo, serikali iliyo zaidi ya km 1500. Kungekuwa na taifa hapo si kungekuwa stable?!

Je nchi hiyo ingeundwa, kungekuwa na faida kwetu?

View attachment 1925307
Kwa maswala ya kiusalama ilikuwa vyema Mozambique ikagawanywa maana serikali iliopo nw ni dhaifu Sana.
Kiuchumi nako tungekuwa na moyo wa kikagame tungeifaidi Sana hiyo nchi

Tatizo kubwa JK alikuwa programed na British kiasi kwamba hafanyi Uamuzi bila kuwauliza London
 
Katika vita ya wenyewe kwa wenyewe ya Msumbiji(1977-1992). Tanzania ilikuwa ikiwaunga mkono wajamaa wenzao FRELIMO dhidi ya RENAMO. Kawaida tulikuwa tukiaminishwa kuwa RENAMO ni waovu wasiofaa, lakini mtu kadri unavyokuwa na kupata habari zaidi unaelewa kuwa kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe huwa hakuna mbaya wala mzuri.

Sasa basi vita ilipokolea RENAMO wakapropose nchi igawanywe, wao waunde jamuhuri ya Rombesia kaskazini na magharibi mwa nchi. RENAMO wana mizizi sana kaskazini wakati FRELIMO wako sana kusini. Mpango huo haukufanikiwa.

Sasa nawaza iwapo tungewaunga mkono RENAMO na hiyo jamhuri ingeundwa si lingekuwa jambo la manufaa sana, hii nchi ingekuwa imebase sana kwetu tofauti na Msumbiji ya sasa iliyobase zaidi South Africa. Hatuna ushirikiano wowote wa maana na Msumbiji, Maputo ipo kilomita zaidi ya 2,000 kutoka Mtwara. Ingekuwepo Rombesia si hata umeme wa Cabora Bassa wangetuuzia? (kwa sasa wanauza South). Pia hawa jamaa wa kaskazini tunashare nao sana utamaduni, kuna Wamakua na Wamakonde huko.

Hata kitendo cha magaidi kuibuka kaskazini ya Msumbiji ni zao la jinsi eneo hilo lisivyojaliwa na Maputo, serikali iliyo zaidi ya km 1500. Kungekuwa na taifa hapo si kungekuwa stable?!

Je nchi hiyo ingeundwa, kungekuwa na faida kwetu?

View attachment 1925307
Rombesia ingeundwa kuna uwezekano wangeanza kudai Mtwara ni sehemu yao.Yawezekana kutoundwa kwa Rombesia kuliepusha mengi.

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Tatizo kubwa JK alikuwa programed na British kiasi kwamba hafanyi Uamuzi bila kuwauliza London
Kwa vita ya Msumbiji sidhani kama Nyerere alikua anapewa maelekezo na British, nadhani hi ilikua programmed na USSR, Cuba, China na North Korea; remember RENAMO walikua wana saidiwa na Sauth Africa, South Africa ilikua ni Western culture including British.

Kujibu swali la mdau, nadhani ilikua ngumu kwa Nyerere kufanya vile kwasababu za kihistoria, mara nyingi wakati wa kugombea uhuru kwenye hizi nchi za Kiafrica, kulikuaga na vyama vingi kama ilivyo sasa, vyama vingine vilikua financed na wakoloni wenyewe; Zimbabwe ilikua hivyo, Zanzibar ilikua hivyo, Msumbiji na Angola pia, Renamo ilikua financed na utawala wa Wakoloni, Ureno alivyo ondoka bado mataifa ya magharibi wakiitumia South Africa waliendelea kuipa misaada ya silaha hadi askari wa kupigana na vyama vya ukombozi but again remember in those years (wahenga wenzangu wanakumbuka ) dunia ilikua inatawaliwa na siasa/uchumi wa aina 2, UBEPARI na UKOMINISTI/Ujamaa; so nchi ikipata uhuru, hao giants 2 walikua wakishindana, USSR na mataifa ya magharibi yakiongozwa na USA, nadhani moja kati ya sababu ya muungano wetu na Zanzibar hi nayo ipo, so Nyerere kwasababu hiyo alikua akiamini katika Frelimo, mnakumbuka hata muasisi wa Frelimo alifia Dar kwa kupigwa bomu so tulikua na uhusiano wa kihistoria.
 
Hii hoja ni hatari sana, sasa sisi ttuchukue nchi nyingine? Tumekuwa wakoloni wa kiafrica sasa. Sidhani baba wa Taifa alikuwa na ulafi huo.
 
Kwa vita ya Msumbiji sidhani kama Nyerere alikua anapewa maelekezo na British, nadhani hi ilikua programmed na USSR, Cuba, China na North Korea; remember RENAMO walikua wana saidiwa na Sauth Africa, South Africa ilikua ni Western culture including British.

Kujibu swali la mdau, nadhani ilikua ngumu kwa Nyerere kufanya vile kwasababu za kihistoria, mara nyingi wakati wa kugombea uhuru kwenye hizi nchi za Kiafrica, kulikuaga na vyama vingi kama ilivyo sasa, vyama vingine vilikua financed na wakoloni wenyewe; Zimbabwe ilikua hivyo, Zanzibar ilikua hivyo, Msumbiji na Angola pia, Renamo ilikua financed na utawala wa Wakoloni, Ureno alivyo ondoka bado mataifa ya magharibi wakiitumia South Africa waliendelea kuipa misaada ya silaha hadi askari wa kupigana na vyama vya ukombozi but again remember in those years (wahenga wenzangu wanakumbuka ) dunia ilikua inatawaliwa na siasa/uchumi wa aina 2, UBEPARI na UKOMINISTI/Ujamaa; so nchi ikipata uhuru, hao giants 2 walikua wakishindana, USSR na mataifa ya magharibi yakiongozwa na USA, nadhani moja kati ya sababu ya muungano wetu na Zanzibar hi nayo ipo, so Nyerere kwasababu hiyo alikua akiamini katika Frelimo, mnakumbuka hata muasisi wa Frelimo alifia Dar kwa kupigwa bomu so tulikua na uhusiano wa kihistoria.

Yaa nakumbuka,
Comrade Eduardo Mondrane.
Aluta Continua.
 
Mbona Nyerere aliunga mkono Biafra kujitenga.

Kuna siku nilikutana na mwanaBiafra mmoja Brussels, akawa alivyojua mimi ni mTanzania, akanikumbatia kwa furaha huku akitokwa na machozi. Na kuanza kusema, you are the only of our Afrikan brothers who stood with us when we were in need. You encouraged and supported us without fear. We still remember you guys. Akawa anasema, wanaongea kiswahili pia huko kwao. Nilishangaa sana!!!
 
Back
Top Bottom