Hivi tuwafanyaje hawa walimu wenye tabia ya kutembea na wanafunzi wao?.

Anthonio

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2012
Posts
202
Reaction score
21
Leo wakati natoka kazini na natembea kwa miguu, nikasikia wanafunzi wa kike waliokuwa mbele yangu wakimshutumu mwalimu wao mmoja kuwa amezidisha tabia yake mbaya ya kutembea na wanafunzi. Wakadai mwalimu huyo wataaluma amekuwa na tabia hiyo huku akiwadanganya wafunzi kuwa atawaonyesha maswali kwenye mitihani yoyote watakayofanya.
Dah! halafu shule yenyewe ni ya private na mmiliki wake ni dhehebu mojawapo la kikristo hapa Dodoma.
Hivi hawa walimu tuwafanyeje?
 
walimu kutembea na wanafunzi ilikuwepo enzi zetu tunasoma na mpaka leo hii ipo na itaendelea kuwepo...wanafunzi wenyewe nao wanatakaga so tusilaumu walimu pekee yao
 
....nikasikia wanafunzi wa kike waliokuwa mbele yangu wakimshutumu mwalimu wao mmoja kuwa amezidisha tabia yake mbaya ya kutembea na wanafunzi.....
Wanashangaa! Wakifika MZUMBE UNIVERSITY wataona ni mambo ya kawaida!!!!
 
Ni kiherehere chao tuu, wala walimu hawana tatizo
 
Wanafunzi wenyewe wanapenda, mbona maswala mengine wanayafanyia migomo mpk na maandamano, lakini kwenye NGONO KIMYAAAA!! Waache tu wakobolewe muda ukiisha watavuna walichopanda.
 
refer Uzi unaosema Mwanafunzi wa kike anapoingia officin Kwako na Kusema...... Utapata majibu
 
Mbona kanuni za ualimu zipo wazi, kama kuna ushahidi ata
shughulikiwa kimaadili na kama sheria ipo itabidi ichukue mkondo wake
 
walimu kutembea na wanafunzi ilikuwepo enzi zetu tunasoma na mpaka leo hii ipo na itaendelea kuwepo...wanafunzi wenyewe nao wanatakaga so tusilaumu walimu pekee yao

Asante Mwalimu wetu,ndio maadili au ndio umetoa great thinka yako?
 
Wanafunzi nao wanachangia. Soo dawa ni kuwaramba tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…