Lakini kumbuka kuwa mbunge anatokana na chama kilichompitisha ili agombee. Sasa mbunge anapoasi chama kilichompa ticket ya kugombea inakuwaje mkuu?Maana ya ubunge ni kuwawakilisha wananchi wa jimbo(constituency) husika kwa maendeleo ya taifa na Siyo chama au nimekosea?
Kwa hiyo unamshauri Zitto awe mgombea binafsi kwa uchaguzi mkuu ujao? Maana CHADEMA hawamtaki! Labda aende CCM.raha yake ni kwamba unaendelea kuwakilisha wananch waliokuamini na kukuchagua na kupata manufaa yote kama mbunge. C lazma chama ndo maana hata wagombea binafsi wapo sehem nyngne na wanapga kaz bila vyama
Kwa hiyo unamshauri Zitto awe mgombea binafsi kwa uchaguzi mkuu ujao? Maana CHADEMA hawamtaki! Labda aende CCM.
Maana ya ubunge ni kuwawakilisha wananchi wa jimbo(constituency) husika kwa maendeleo ya taifa na Siyo chama au nimekosea?
Ukishajua kuwa chama hakikutaki hata kidogo kwa kukuchoka kwa kukiuka matakwa ya chama halafu unang'ang'ania hadi mahakamani, kuna raha gani ya kuwa mwanachama kwa amri ya mahakama? Hii inatokana na mfano halisi kwa Zitto Kabwe na wengineo wa aina yake.
Uko sahihi mkuu. Chukua likes mia.Mkuu
Hawa hapa wanashndwa tu kusoma alama za nyakati pia usaliti unawapa tabu sana yaani undumilakuwili
Zito KabweHamadi RashidiDavid Kafulila
Nadhani wanaweza kutupatia majibu mazuri lakini kwa mtazamo wangu bora wangekubali tu kutemwa yaishe haya mambo maana kama chama unakipenda kwanini ufanye usaliti halafu uwahi mahakamani ?
maana yangu ni kwamba anaweza kuwakilisha wananch wake hata kama ni mbunge wa mahakama
Lakini kumbuka kuwa mbunge anatokana na chama kilichompitisha ili agombee. Sasa mbunge anapoasi chama kilichompa ticket ya kugombea inakuwaje mkuu?
Alichaguliwa na wananchi wa kigoma kasakazini na sio chama acha UJUHA wa MFALME JUHA
Zzk hata akiwa mgombea binafsi hawez kuwa rais labda kigoma iwe nchi.kwa mtazamo wangu kuna vyama vinamsifu kwa unafiki tu zzk na wengine kuwa wabunge wa mahakama coz uanachama wa chama haupatikani mahakamani.maybe shetan atamlipa ujira wake zzk si muda mrefu ikibidi amchukue!
Ukishajua kuwa chama hakikutaki hata kidogo kwa kukuchoka kwa kukiuka matakwa ya chama halafu unang'ang'ania hadi mahakamani, kuna raha gani ya kuwa mwanachama kwa amri ya mahakama? Hii inatokana na mfano halisi kwa Zitto Kabwe na wengineo wa aina yake.
Kumbe unajua kuwa mgombea binafsi hadi katiba mpya kwa maana hiyo kwa sasa mbunge ni lazima apitie chama cha siasa ndipo achaguliwe na wananchi kuwawakilisha bungeni!Waliotangulia wamekujibu vizuri sana, kazi ya mbunge si kuwakilisha chama bungeni, anawakilisha wananchi waliomchagua na kuisimamia serikali kwa manufaa ya taifa. ZZK anweza kuifanya hiyo kazi vizuri bila msaada wa CDM, ngoja katiba mpya ianze kufanya kazi nadhani hata haya mambo ya kufukuzana hayatakuwa na maana tena.
Lakini kama Great thinker ulitakiwa pia kujiuliza, utafanyaje iwapo watu wachache ndani ya chama wamefanya Lobbying ili ufukuzwe uanachama kwa masilahi yao binafsi, je utakaa kimya haki yako ipotee? Kama una ushahidi kuwa ZZK ni msaliti leta hapa janvini na siyo kuendekeza majungu kwa kutumia waraka ya kumchafua ZZK ulioandaliwa na CDM. Mbona suala la Mbowe kuchukua hela kwa Mkono haujauliza, huyo si msaliti? Kwa nini akachukue hela kwa mtu ambae chama kilimtaja kama fisadi? Hapo usafi wa Mbowe uko wapi?