hIVI UBUNGE WA MAHAKAMA UNA RAHA GANI KAMA UMEKATALIWA NA CHAMA?

Anajadiliwa nani hapa! Ooops! Ni yule Mbunge wa Mahakama kwa tiketi ya CCM! Ahesabu ameumia! Akawaulize waliorudishwa kinguvu na Mahakama katika ndoa zao, kama wanazifurahia tena!

Kwani Kafulila amepungukiwa nini, mbona anaendelea kupiga mzigo vizuri tu bungeni na jimboni. In fact sasa hivi Zitto atakuwa more effective kwa sababu sasa hana mtu wa kumshika shati kama kipindi cha nyuma alipokuwa anaambiwa ni mbinafsi, sijui hashirikiani na wenzako. Sasa hivi kazi tu.
 
Kumbe unajua kuwa mgombea binafsi hadi katiba mpya kwa maana hiyo kwa sasa mbunge ni lazima apitie chama cha siasa ndipo achaguliwe na wananchi kuwawakilisha bungeni!

topic inazungumzia ubunge wa mahakama na tunasema mbunge wa mahakama ni mbunge na mwakilish halali wa wananch. Naona umeweka stress kwenye mgombea binafs,hiyo inazungumzwa kukoleza point ili uelewe wewe mwenye akili za mbali sote tunajua kuwa katiba haijaruhusu hlo
 
Kafulila aliomba msamaha wakamrudisha kundini saivi ana adabu.
 
Uligusia suala la mgombea binafsi ndo maana nikakujibu.
 
mkuu chama huwa kinapendekeza tu. wanaomchagua mtu kuwa mbunge wao ni wannanchi wa jimbo husika. au unaongelea wale wa viti maalumu kama akina vicky kamata na joice mkuya?
usisahau kuwa rais wa malawi alishawahi kujitoa kwenye chama na bado akaendelea kuwa rais.
 
wanasayansi ya jamii wanasema "Knoledge is not universal". Hapa naona kuna tofauti kubwa sana ya neno USALITI lakn binafsi nadhani neno hili linatumiwa kama kisingizio tu na baadh ya watu ili kuwabagua wengne!

Je hapo ndio mwisho wako wa kufikiri?
 

Kumbe Mtei. Mbowe na Slaa ndio CDM!!!????
 
mkuu chama huwa kinapendekeza tu. wanaomchagua mtu kuwa mbunge wao ni wannanchi wa jimbo husika. au unaongelea wale wa viti maalumu kama akina vicky kamata na joice mkuya?
Kumbe umeshalewa sasa kuwa mbunge anapendekezwa na chama ndipo anagombea ubunge jimboni! Safi sana.
 
Endeleeni kuchangia mods walijisahau wakaifuta nadhani labda ni kwa bahati mbaya.
 
Mi naona hakuna raha yoyote zaidi ya kujiwekea wakati mgumu wa kugombea ubunge kupitia chama husika kwa wakati mwingine labda kuwa mgombea binafsi baada ya katiba mpya.
 
kama kafulirwa mwenzie. mahakama ni tiba ya wasaliti. kula bata zito ila kama unajuwa wengi wanakuunga mkono we anzisha chama chako. hafu uache ubwata wa kutupia vpost kuwakashfu viongoz wako naamin ungekuwa makini hayo ungeyasema mapema kabla ujasemwe. huo cc twaona kumbemnafki tuuuuu.
 

Ukiwa mpenda posho na muuza sura luningani kwenye kipindi cha bunge hauna raha kabisa,lakini kama una dhamira ya kweli ya kuwa sauti ya wanyonge waliokupigia kura una raha sana,maana hakuna kiongozi wa chama atakwambia habari ya maslahi ya chama kwanza,kwako daima itakua wananchi na taifa kwanza.
 

Kamwambie awe mgombea binafsi
 
Usipendwe na chama pendwa na wapiga kura wako ndio kitu cha msingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…