Uchaguzi 2020 Hivi Uchaguzi wa mwaka huu mabango yanazuiwaje?

blogger

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2012
Posts
12,112
Reaction score
15,060
Mafukara (95%) ya Watanzania wana mengi ya kusema kwa hawa wagombea kupitia mabango.

Mabango ni Direct messages ambapo wasio na uwezo wa kumuona Rais Wa Wanyonge ana kwa ana wanamrushia live. Sasa nashangaa. Ni wagombea hawapendi au ni wasaidizi wa wagombea wanajipendekeza.

The only bango that moves ni "MAGUFULI MIAKA 5 TENA" Hivi kweli wa Tanzania tumekuwa malofa na wapumbavu kiasi hiki!?

Jana Shinyanga Magufuli kapewa kero kibao za wanashinyanga aziseme yeye.. I am sure michomo mingi kaikwepa.

Embu CCM msituharibie Nchi.

We need live Campaigns

We need voters to express their views

Voters have to share their feelings.

Acheni kumchosha mwenyekiti wenu mkifikiri mnamsaidia. Mtamkusanyia vikaratasi vingapi!?

Acheni UNAFIKI.
 
Uhuru umeminywa na unafiki umezidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…