Hivi uchoyo/ubinafsi unafaida gani katika maisha yako ya duniani hapa

Hivi uchoyo/ubinafsi unafaida gani katika maisha yako ya duniani hapa

Extrovert

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2016
Posts
70,785
Reaction score
186,690
Nmekuwa nikishuhudia baadhi ya watu wenye visa kama hivi:
Unakuta mtu ana maindisha misosi, anafunga friji na funguo ili tu watu wasile matunda au maziwa ambayo ni ya familia ambayo hata hajui bei yake.

Anafungia t.v chumbani ili watu wasiangalie akiwa hayupo, anawakalisha watu chini eti wanachafua makochi na sebule.

Ana maindi kuona mtu anainjoy life ile umepumzika tu ataanza visa mradi akukurupue tu ukafanye kazi ambazo sio hata za lazima.

Anamaindisha vitu vidogo sana, mfano anaweza kulizua zogo tu kisa kikombe,sahani au sufuria. Eti hapendi tu litumike na mtu flani.

Hela ipo na inatosha kununua vitu in bulk ila ananunua vitu kwa reja reja tu bila sababu ya msingi na vinapoisha fasta anabwata kwamba kuna misuses.

Gari zipo ila hataki mtu aendeshe makusudi tu, hata kama kuna emergency atakutembeza kwa mguu juani akupandishe daladala au taxi ila gari zipo uani zinanyewa na ndege tu.

Ana hela ila hawezi msaidia hata baba au ndugu zake wa damu, sijui tuite ubahili yani mtu ndugu zake waweza kuwa wana ukata uliopitiliza ila kuwainua hali zao tu asiweze.

Haya ni machache miongoni mwa mengi, najua humu mpo pia watendaji na wahanga...Kuna faida gani mtu ukiwa na tabia ya aina hzo maishani mwako!?
 
Unoko tu.

Hapo kwenye Motokaa ndio usiseme.

Kuna baadhi ya wakina Baba, Chombo kipo Nyumbani lakini hawataki Watoto zao kugusa, au japo kuwafundisha.

Au kuwafundisha Wake zao, halafu unakuta wanaishi au wameshaishi Miaka mingi ndani ya Ndoa yao.

Mtu yuko tayari akiwa anaumwa akodiwe Chombo kupelekwa Hospitalini, kuliko kutumiwa Chombo kilicho Nyumbani. Eti kwasababu tu mwenye Chombo chake amepatwa na Maradhi.

Kwa kweli kuna Watu wa ajabu sana hapa Ulimwenguni
 
tafua maisha yako m
Nmekuwa nikishuhudia baadhi ya watu wenye visa kama hivi:
Unakuta mtu ana maindisha misosi, anafunga friji na funguo ili tu watu wasile matunda au maziwa ambayo ni ya familia ambayo hata hajui bei yake.

Anafungia t.v chumbani ili watu wasiangalie akiwa hayupo, anawakalisha watu chini eti wanachafua makochi na sebule.

Ana maindi kuona mtu anainjoy life ile umepumzika tu ataanza visa mradi akukurupue tu ukafanye kazi ambazo sio hata za lazima.

Anamaindisha vitu vidogo sana, mfano anaweza kulizua zogo tu kisa kikombe,sahani au sufuria. Eti hapendi tu litumike na mtu flani.

Hela ipo na inatosha kununua vitu in bulk ila ananunua vitu kwa reja reja tu bila sababu ya msingi na vinapoisha fasta anabwata kwamba kuna misuses.

Gari zipo ila hataki mtu aendeshe makusudi tu, hata kama kuna emergency atakutembeza kwa mguu juani akupandishe daladala au taxi ila gari zipo uani zinanyewa na ndege tu.

Ana hela ila hawezi msaidia hata baba au ndugu zake wa damu, sijui tuite ubahili yani mtu ndugu zake waweza kuwa wana ukata uliopitiliza ila kuwainua hali zao tu asiweze.

Haya ni machache miongoni mwa mengi, najua humu mpo pia watendaji na wahanga...Kuna faida gani mtu ukiwa na tabia ya aina hzo maishani mwako!?
tafuta vya kwako maana yeye siyo lazima akusaidie unatakiwa uwe na vya kwako na anakufanyia hivyo ili na wewe uweze kuwa na akili ya kufikiri utafuta vyako
 
Mtu wa karibu yako ndie anaekufanyia roho mbaya, sasa maisha yakiwa mazuri sioni kama itakuwa vyema umsaidie yule aliekufanyia roho mbaya.
 
tafua maisha yako m

tafuta vya kwako maana yeye siyo lazima akusaidie unatakiwa uwe na vya kwako na anakufanyia hivyo ili na wewe uweze kuwa na akili ya kufikiri utafuta vyako
Mbona unani attack, aliekwambia sina vyangu ni nani mkuu?
 
Hauna faida yeyote basi tu ni roho ya mtu ilivyo mbaya au utakuta mwanamke kaolewa ndugu wa mume wakija mwendo wa maharage tu na dagaa mpaka waondoke
1502641796032.png
[emoji7] [emoji7]
 
Hauna faida yeyote basi tu ni roho ya mtu ilivyo mbaya au utakuta mwanamke kaolewa ndugu wa mume wakija mwendo wa maharage tu na dagaa mpaka waondoke
Hapo kwenye Chakula!

Kwakweli Chakula kinatutoa sana imani.

Mimi ndio maana Ugenini nikikaribishwa Chakula huwa najifanya nimeshiba, au nimeshakula tayari.

Hata kama nina Njaa yangu bora nijikaze kisabuni.

Kuliko Kula halafu baadae ukishawapa Mgongo ufanyiwe masimango.

Hapana, huwezi nisimanga kwa ajili ya Chakula
 
tafua maisha yako m

tafuta vya kwako maana yeye siyo lazima akusaidie unatakiwa uwe na vya kwako na anakufanyia hivyo ili na wewe uweze kuwa na akili ya kufikiri utafuta vyako
Kiongozi.

Si kama ufikiriavyo.

Ni Udhaifu wa Roho tu.

Kama huamini, mwingine analeta Unoko kwenye Vitu ambavyo wala si vyake/si vya kwake au naweza sema ni Mpambe tu fulani. Wakati ukija kwa mwenye vyake/mwenye Mali wala hana tatizo lolote.

Sasa kwa mfano huo tu.

Kwa kukunukuu, unataka kuniambia "anakufanyia hivyo ili na wewe uweze kuwa na akili ya kufikiri utafuta vyako"

Hapana, nakataa
 
Hapo kwenye Chakula!

Kwakweli Chakula kinatutoa sana imani.

Mimi ndio maana Ugenini nikikaribishwa Chakula huwa najifanya nimeshiba, au nimeshakula tayari.

Hata kama nina Njaa yangu bora nijikaze kisabuni.

Kuliko Kula halafu baadae ukishawapa Mgongo ufanyiwe masimango.

Hapana, huwezi nisimanga kwa ajili ya Chakula
Mkuu binadam ukishamjua hulka yake ni rahisi sana kuishi naye

Hata kama ana tabu kiasi gani utamudu tu

Ni wewe kuignore yatendekayo na kufanya mambo yako na kukamilisha kilichokupeleka pale



Madame S
 
Back
Top Bottom