Hivi Udikiteta wa Jirani Zetu Tunajua ni Hasara Yetu?

Hivi Udikiteta wa Jirani Zetu Tunajua ni Hasara Yetu?

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Hali sio shwari huko Uganda, na kwavile hao ni marafiki zetu kwani M7 alishatuonesha kuwa tutakuwa na biashara ya bomba LA mafuta nasi tutauza gas huko.
Jee tumejiuliza hali inayoendelea huko ya mapambano ya udikteta yatatuacha salama? Waganda wameona tunamuunga mkono M7 kwa sababu ya bomba LA mafuta na biashara ya Gas, lakini jee M7 aking'olewa kweli kuna biashara hapo au tutapata maumivu ya hasara?
Nawahakikishia huyu aitaye wanainchi wake PIG wanamuondoa na sisi tutabeba machugu ya kuondolewa kwa dikteta huyo.
Tusishangae bomba LA mafuta likaenda Mombasa baada ya YKM kuondolewa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali sio shwari huko Uganda, na kwavile hao ni marafiki zetu kwani M7 alishatuonesha kuwa tutakuwa na biashara ya bomba LA mafuta nasi tutauza gas huko.
Jee tumejiuliza hali inayoendelea huko ya mapambano ya udikteta yatatuacha salama? Waganda wameona tunamuunga mkono M7 kwa sababu ya bomba LA mafuta na biashara ya Gas, lakini jee M7 aking'olewa kweli kuna biashara hapo au tutapata maumivu ya hasara?
Nawahakikishia huyu aitaye wanainchi wake PIG wanamuondoa na sisi tutabeba machugu ya kuondolewa kwa dikteta huyo.
Tusishangae bomba LA mafuta likaenda Mombasa baada ya YKM kuondolewa!

Sent using Jamii Forums mobile app
M7 atauawa kwa mapinduzi Nina uhakika na hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bomba la mafuta sio project ya laki 2 kiongozi paka m7 atoke project itakua imekwisha na mafuta yameanza kuuzwa sasa atakaye kuja kuchange direction lazima atathmin cost ndo apo atakwama na biashara itaendeleaa na interest za nchi haziingiliwii kiongozi kuna sovrgnty so przdnt atakykuja ugnda analitambua hlo tz tulikuwa htuusiku na politics zao ni mtizamo wangu tuuh..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali sio shwari huko Uganda, na kwavile hao ni marafiki zetu kwani M7 alishatuonesha kuwa tutakuwa na biashara ya bomba LA mafuta nasi tutauza gas huko.
Jee tumejiuliza hali inayoendelea huko ya mapambano ya udikteta yatatuacha salama? Waganda wameona tunamuunga mkono M7 kwa sababu ya bomba LA mafuta na biashara ya Gas, lakini jee M7 aking'olewa kweli kuna biashara hapo au tutapata maumivu ya hasara?
Nawahakikishia huyu aitaye wanainchi wake PIG wanamuondoa na sisi tutabeba machugu ya kuondolewa kwa dikteta huyo.
Tusishangae bomba LA mafuta likaenda Mombasa baada ya YKM kuondolewa!

Sent using Jamii Forums mobile app

"Kuona machungu ya kuondolewa dikteta"? Wacha bhwana. Heri kufa maskini kuliko kuwa chini ya dikteta. Hasa hawa madikteta wanaotafuta kuabudiwa na kujifanya kana nchi wanazotawala ni mali zao binafsi.

UnajuaChakaza, tumelemaa sana nchi hii kwa kudhani kuwa hatuwezi kuendelea kwa kutumia raslimali zetu wenyewe zilizopo hapa. Nchi hii ni tajiri sana. Kilimo tu kinatosha kubadili kila kitu ndani ya Tanzania bila kutegemea kitu kingine chochote cha ziada. Lakini bado tumejaliwa vingi tu vya ziada. Kilichobaki tu kutuondoa hapa ni uongozi utakaojua kuwaandaa na kuwa'motivate' watu wetu wenyewe ili wajiletee maendeleo yao wenyewe.

Huyo dikteta muda wake ulisha kwisha siku nyingi. It is time they kick him out.
 
bomba la mafuta sio project ya laki 2 kiongozi paka m7 atoke project itakua imekwisha na mafuta yameanza kuuzwa sasa atakaye kuja kuchange direction lazima atathmin cost ndo apo atakwama na biashara itaendeleaa na interest za nchi haziingiliwii kiongozi kuna sovrgnty so przdnt atakykuja ugnda analitambua hlo tz tulikuwa htuusiku na politics zao ni mtizamo wangu tuuh..

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kulikuwa na project ngapi kabla ya 1977 za East African Community? Mbona zote zilikufa baada ya EAC kujifia? Na sababu za kujifia in za kisiasa na chanzo no viongozi wakuu kutoelewana tuu,
Kulikuwa na shirika LA ndege,reli, bandari nk lakini yote yalijifia hivyo mambo ya M7 yanaweza leta athari kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua kulikuwa na project ngapi kabla ya 1977 za East African Community? Mbona zote zilikufa baada ya EAC kujifia? Na sababu za kujifia in za kisiasa na chanzo no viongozi wakuu kutoelewana tuu,
Kulikuwa na shirika LA ndege,reli, bandari nk lakini yote yalijifia hivyo mambo ya M7 yanaweza leta athari kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
kipind kile kulikua sababu kuu ya kuvunjika ushirika ilikua ni tofauti za kiideology ya uongozi mfano tz chini ya mwalimu tulikia na socialzm ukija ug amin alikuwa realy dicttor kenya democracy kupitia utofauti huu kila nchi ikawa na sera tofauti za kimaendeleo kitu kilichopelekeaa muungano ukafaa....
tukiachano na hayo kwann ushrka wa tz na ug aftr museven bado utaendlea sababu ni aina ya udikteta uliopoo tukichukua mfano amin alikua na dicttor nguli namaanisha alikua anamiliki kila kitu kuanzia ngazi ya mahakama,katiba ilikua ni yeye kila kitu alikua akimiliki had raia yeye aliwamiliki... tofauti na m7 ye ni dicteta wa democracy tuuh nikiimaanisha ana uchu wa madaraka tuuh lkin in some extent wa2 wana freedom ya kufnya biashra bila kupangiwaa kuna uhuru wa mahkma kama tz raia wanaishi kwa amani kwa maana hyo tz htuna jambo la kuhoji juu yao ni matter za wao kuwa na ushawishi juu ya wananchi wao ili kuipata nnchi kwa nguvu za ziada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hali sio shwari huko Uganda, na kwavile hao ni marafiki zetu kwani M7 alishatuonesha kuwa tutakuwa na biashara ya bomba LA mafuta nasi tutauza gas huko.
Jee tumejiuliza hali inayoendelea huko ya mapambano ya udikteta yatatuacha salama? Waganda wameona tunamuunga mkono M7 kwa sababu ya bomba LA mafuta na biashara ya Gas, lakini jee M7 aking'olewa kweli kuna biashara hapo au tutapata maumivu ya hasara?
Nawahakikishia huyu aitaye wanainchi wake PIG wanamuondoa na sisi tutabeba machugu ya kuondolewa kwa dikteta huyo.
Tusishangae bomba LA mafuta likaenda Mombasa baada ya YKM kuondolewa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeshajiuliza asipong'olewa je itakuwaje. Mambo yenu ya bavicha yaishie ofisini kwenu sisi hatutaki machafuko nchini kwetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bomba la mafuta sio project ya laki 2 kiongozi paka m7 atoke project itakua imekwisha na mafuta yameanza kuuzwa sasa atakaye kuja kuchange direction lazima atathmin cost ndo apo atakwama na biashara itaendeleaa na interest za nchi haziingiliwii kiongozi kuna sovrgnty so przdnt atakykuja ugnda analitambua hlo tz tulikuwa htuusiku na politics zao ni mtizamo wangu tuuh..

Sent using Jamii Forums mobile app
Ofcoz mikataba si ya Mu 8 ndo maana tunasign makablasha na kuyatunza na ndo maana Mu 8 alitupa kishika uchumba cha vita wakati tulipigana na Idd Amini na si Mu 8
 
Back
Top Bottom