Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Unatengenezwa na kiwanda gani mkuu?Ule udongo unaouzwa umesheheni madini ya Calcium, Iron, Sodium na Magnesium ambayo ni muhimu sana kwa Mama kijaacho!
Unatengenezwa locally tuu ni Aina fulani ya udongo huwa unachekechwa then unawekwa kwenye umbo kama sausageunatengenezwa na kiwanda gani mkuu ?
jibu sahihi kabisa.Ule udongo unaouzwa umesheheni madini ya Calcium,Iron,Sodium na Magnesium ambayo ni muhimu sana kwa Mama kijaacho!!
Ni madini hayo natural yako ardhini. Kwa kawaida tunayapata madini hayo kwa kula matunda. Matunda yana absorb madini kutoka ardhini.unatengenezwa na kiwanda gani mkuu?
Ikiwa ni hivyo kwanini wanaokula ni wanawake wa kiswahili tu, na mbona wizara ya afya imesahau kuwahamasisha wanawake wengine?Ni madini hayo natural yako ardhini. Kwa kawaida tunayapata madini hayo kwa kula matunda. Matunda yana absorb madini kutoka ardhini.
Kwa mahitaji ya ziada mama mjamzito anakuwa na cravings kwa udongo.
Hamu ya kula inaletwa na cravings kama huna huwezi kutamani. Wengine Hypatia madini haya kwa kula matunda. Wizaracya afya inahimiza unajua wa matunda kwa wajawazitoikiwa ni hivyo kwanini wanaokula ni wanawake wa kiswahili tu , na mbona wizara ya afya imesahau kuwahamasisha wanawake wengine ?